Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,711
- 6,033
Jamani mbona mimi naona gharama tu, hela ya kuwalipa hao marais na wabunge itatoka wapi? Kama sio kuanza kutupandishia kodi. Na hamna details za kueleweka ya vyazo vya mapato vya serikali za Zanzibar na Tanganyika?