Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Karibu tena na mchango wako ni muhimu sana maana elimu ya kura ya maoni inaendelea ili watu wafanye maamuzi sahihi ya kuipa ridhaa Katiba inayopendekezwa,kukaa kwako kimya unaonekana mchoyo wa elimu!!

Kwa sasa nipo kamili kinjekitile! Awali ya yote nitofautiane na wewe kidogo, katiba inayopendekezwa haifai kupewa ridhaa na wananchi baada ya kunyofolewa kwa madaraka yao dhidi ya watawala.
 
Kwa sasa nipo kamili kinjekitile! Awali ya yote nitofautiane na wewe kidogo, katiba inayopendekezwa haifai kupewa ridhaa na wananchi baada ya kunyofolewa kwa madaraka yao dhidi ya watawala.

Karibu na ufunguke zaidi labda na mimi ambaye ntapiga kura ya ndiyo ntakuelewa nikabadili msimamo!!
 
Karibu na ufunguke zaidi labda na mimi ambaye ntapiga kura ya ndiyo ntakuelewa nikabadili msimamo!!

Soma tunu za taifa kwenye katiba inayopendekezwa ulinganishe na tunu za taifa kwenye katiba ya wananchi maarufu katiba ya WARIOBA ukimaliza tuanze mjadala

Endelea..
 
Soma tunu za taifa kwenye katiba inayopendekezwa ulinganishe na tunu za taifa kwenye katiba ya wananchi maarufu katiba ya WARIOBA ukimaliza tuanze mjadala

Endelea..

We funguka tu kiongozi kinachokuzuia ni nini?unanipa mashaka nianze kuhoji uelewa wako maana nimekufuatilia michango yako unkwenda unategea kitu inaelekea kuna mtu anakumezesha maneno afu ndo unakuja kusema hapa!!
 
Katiba mpyaa iwee na kipengelee kinacho sema. Raisi ahukumiwe kama aja timizaa asilimia kadhaa ya vitu alivo ahidi kwa wananchi
 
mimi namini tuna twaga maji kwenye kinu hio yote mnaisema haiwezi kutokea ila katiba ya kuwakamata vigogo ni vuli sana mana kama akikamatwa na lushwa kawainda afugwe njela au afilisiwe mali alizo nazo au vote viwili mbona watashika heshima
 
Duh naona katiba pendwa imebaki historia na mabilioni yaliteketea bure tu..... kila mjumbe aliambulia million 21 ya posho huku watanzania tukiambulia nothin!!!!!
 
Back
Top Bottom