kabla ya kufungia vtumbua naombeni na mm niipitie nione kasoro zake au maandishi hayasomeki kwa sababu ya uchakavu?
nilifikiri unataka ukaitumie msalani kunaniliuuu...
Mh siasa ya bongo hii
Hivi wewe matusi yak bona hayaishi. Hebu jirekibishe ndugu ndo uwezekuendelea vizuri na forum.nilifikiri unataka ukaitumie msalani kunaniliuuu...
Hivi wewe matusi yak bona hayaishi. Hebu jirekibishe ndugu ndo uwezekuendelea vizuri na forum.
kunawakati tabia ya mtu heendana na mazingira aliyozaliwa au mazingira ambayo mama yake alibeba ujauzito wake.
kwahiyo yawezekana kijana alizaliwa chooni
kama mtu unatafuta msaada kutoka kwa ibilisi maanayake ni kwamba umepoteza kabisa muelekeo wa maisha, na hauamini kama Mungu anaweza kukusaidia.
Ni msiba huo
mimi sio miongoni mwa hao ndiomaana sihitaji msaada wa majini.
Namfahamu vema Mungu ninayemtumikia naye ni mwaminifu kwangu.
YOHANA 8:31 Basi Yesu akawaambia wale wayahudi waliomwamini.
Ninyi mkikaa katika neno langu mmekuwa wanafunzi wangu kwelikweli. tena mtaifahamu kweli. nayo kweli itawaweka huru.
Mimi ni mtu huru situmikishwi na majini .
Sijamaliza kuisoma lakini naona imekaa vizuri sana. Thanks Prof.
Salamu sana humu ndani! Nimemiss sana mjadala wa katiba ya wananchi lakini muda ukifika tutashusha nondo hapa tuko pamoja sana.