Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Watu wa kusini tuna wabunge lakini bado wanashangaa shangaa.Tunahitaji kuwa na mbunge atakae sema wananchi kwanza badala ya chama au cheo,nimeshawahi andika juu ya swala la gesi,nikataka tujifunze kutoka kisiwa cha SONGOSONGO,tunahitaji kunufahika zaidi ya umeme wa elfu tisini,zaidi ya viajira vidogovidogo.Kusini inatakiwa kubadilika bila sera ya gesi yenye kueleweka sawa na hakuna,waziri anakuja kukusanya maoni ya sera ya gesi MTWARA NA LINDI alete majibu yenye kueleweka vinginevyo hali itakua mbaya.