Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Napinga sana Chenge kuachiwa aendelee kama business as usual minister, yaani frankly nashindwa kuona ni vipi Chenge anaweza kukaa nyumbani kusubiri gari ya ofisi, kisha aende kazini kufanya kazi bila kuzongwazongwa na tuhuma hizi. It will be best if steps down for our nation's sake!
Hata hivyo nasita kuungana na wito wa hapa kutaka RO ajiuzulu,kwa sababu unlike Hosea na AG Mwanyika, wengi humu wapo ignorant kujua mipaka ya kazi za Idara ya Usalama wa Taifa.
Kwa hakika tunakosea sana kutaka RO ajiuzulu kwa kulinganisha utedaji wake wa kazi na wale wa zamani, huyu ni mkurugenzi wa alama mpya za nyakati, hivi nani hajui kuwa moja ya mbinu za idara ya usalama ni kunearth maovu, who knows kama haya tunayoyasikia ni as a result ya kazi yao, problem kubwa ni kuwa unlike other state departments hii ya Intelligence haina PR officer, watu wanashindwa kujua iwapo kazi inafanyika au la, Hata wale wanaosema ''Jiuzulu Yes I said it'' nina hakika hawajui kazi rasmi za usalama wa Taifa ni zipi,
The little I know ni kuwa hawa jamaa ni washauri tu full stop na at times huwa wanaact on permission! na kazi zao ni undercover hivyo pale mahali kama wametia mkono au la ni beyond public knowldedge, how can you blame someone bila kujua kazi zake?!
Issue ya Chenge inaarifiwa kuwa SFO walikuja Tanzania, na other circles reports that walideal kwanza na upande na Intelligence....
Times have changed, zamani haya yakitokea ilikuwa ni rahisi kumwambia editor wa Dailynews and other handful papers kuwa stop this! sasa hivi ni magazeti lukuki and it helps kujulikana maovu, hivi ni vita ambavyo ukiangalia single issues utaona hata JK hawajibiki but if you look at the bigger picture corruption scandal's coverage ni healthy kwa nchi guys! Hii ni dalili ya wazi kuwa mafisadi sasa hawawezi kujinatanfasi katika bongo yetu.
Usalama sasa wana kazi ngumu ya kujaribu kupambana na mafisadi waliomzunguka JK ambao for some reason ni friends, but they have managed to do it if you look at the fallback position alonayo Rostam na Lowassa...The intelligence today has to collaborate with the media na what we are seeing is somehow the result of tip off from reliable sources huwa inakuwa ni usalama, inapohojiwa kuwa walikuwa wapi, inakuwa ni meaningless...
Now I think is the right moment kwa Chenge kuresign kwanza, we should stop beating around the bush katika hili!Na huu ''reliable sources'' zinaarifu kuwa ameaombwa aresign au atamuacha rais with no option but to sack him....There is no way... He has to go frankly....
The first thing ni watu kama wewe kuwekwa ndani kwa ufisadi kisha Chenge afuatie