Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

Status
Not open for further replies.
Mimi tatizo langu ni RO.. wananchi wakimkataa na kuonesha ni kwanini hastahili kushikilia nafasi hiyo itatokea siku tutalia kilio cha mbweha!
 
Tatizo wabunge wetu wanaiogopa idara ya usalama vibaya mno, kiasi mkurugenzi wake RO anakuwa kama yuko above the law. But, as times go wananchi kuna siku watachukua madaraka mkononi.
 
Kashfa ya nyumba ubalozini(UK) ilikuwa wakati RO yuko kule sio?

Hivi wakuu wa huko london, ni kweli kwamba hiyo nyumba mpaka leo kuwa iko mikononi mwa homeless wa kizungu, ambao sheria za huko zinawaruhusu kuingia na kuichukua nyumba yoyote ambayo ni abandoned?

Nasikia hata mahakamani tumeshindwa maana ni haki yao kuihsi humo, tena according to the dataz, ni nyumba pekee ambayo iko kwa matajiri, lakini haina usafi wala umeme, tena wazungu wa huko nasikia wanatulaaani sana on this house!

Jamani kuna anyeweza kuzithibitisha hizi info?
 
Wananchi wenye hasira kali wakowapi jamani??
Mbona watu kwenye wizi wa vijisimu na vitu viduchu tunatoa kipigo cha kutisha??
Vipi kuhusu hawa Mafisadi jamani, kama vipi nao wapate kipigo na kuchomwa moto kama wengine wanavyofanyiwa
 
Hivi wakuu wa huko london, ni kweli kwamba hiyo nyumba mpaka leo kuwa iko mikononi mwa homeless wa kizungu, ambao sheria za huko zinawaruhusu kuingia na kuichukua nyumba yoyote ambayo ni abandoned?

Nasikia hata mahakamani tumeshindwa maana ni haki yao kuihsi humo, tena according to the dataz, ni nyumba pekee ambayo iko kwa matajiri, lakini haina usafi wala umeme, tena wazungu wa huko nasikia wanatulaaani sana on this house!

Jamani kuna anyeweza kuzithibitisha hizi info?

Hivi ndo vitu ambavyo TA walitakiwa kufuatilia badala ya kufanya mision town na kudanya watazania kuwa kuan unoja UK, Msaidieni balozi kuakikisha hiyo nyumba inarudi mikononi mwa serikali
 
Hadi gazeti la Guardian litutangazie kuwa Waziri wetu ameficha Bilioni kisiwani Jersey (thanks Yebox2) wao kina RO walikuwa wapi?

Hadi Kamati Teule ilipotuambia rasmi kuwa RDC ni kampuni hewa RO na timu yake walikuwa wapi?

Niendelee kuorodhesha ushahidi wa uzembe uliokithiri na uvivu wa kufikiri wa taasisi nyeti ya Usalama wa Taifa? Kama wameshindwa kugundua matukio ya economic sabotage yanayoendelea nchini wana faida gani? Hii ya kusafiri na Rais na kutumia vi ear pieces na makoti marefu kama vile wao Secret Service?

Rashid Othman ajiuzulu kwa ajili ya Usalama wa Taifa!!!

yes I said it!

Mwanakijiji,

Kazi ya RO ni kwenda kuangalia kama Balali bado anaishi. Atapata wapi muda wa kuwaandama mafisadi? Muda mwingine ni kushinda JF, kutafuta nani anavujisha siri za serikali. Matokeo yake nchi nzima inakuja kuamini walichosema Gurdian, wakati Dr. Slaa na JF wamesema siku nyingi kwamba Chenge ni fisadi.

Kwanza mkuu wake aliyemtangulia ndio mapesa mengi ya EPA yamepitia kwake.

RO umetuangusha Watanzania!
 
Jamani Huyu Mtukawekwa kwa makusudi kabisa kuhakikisha maba ya jamaahawa mafisadi yananyooka na kweli ushindi wa kishindo kwa wala nchi akina chenge na wenzake tusi malaumu yeye tumlaumu alio mpa huo ujiko msanii ambaye anamfanya mwamvuli.
 
Jamani naomba kwa heshima kidogo tupunguze jazba!!

Jk is the best thing we have right now if what we want is to fight high level corruption. TZ was being run as a syndicate and every level of govt was/is under the syndicate. Jk has to move with caution to survive himself. Do u guys think all of a sudden Lowassa, Rostam, Chenge and soon Yona/Mramba are in trouble due to coincidence??

BWM himself is thinking what is going on??

The whole system is corrupt and JK is doing the best he can (of course he is not perfect) but he is the best we have.

Let me ask a rhetoric question, if JK goes who do u think will grab power?? TZ will go back to BWM days where the powerful could do whatever they want.

JK has to have our full support at this time, because he is running foul with the cartel, so if we abandon him he will have no support and he will crumble.

Kuhusu RO, no comment.
 
Hivi inakuwakuwaje hawa viongozi wa juu serikalini kuwa mafisadi lakini Kikwete asiwe fisadi? Kama Chenge alimegewa pande kwenye dili la rada huku akiwa mwanasheria mkuu inakuwaje Kikwete asiwemo kabisa wakati yeye alikuwa waziri wa mambo ya nje? Mimi nadhani na yeye ni fisadi tu.
 
Tunasema tena kwamba huu wakati muafaka kwa Mheshimiwa Chenge, RO, na Hosea, kujiuzulu kwa sababu:-

1. Waziri Chenge, sasa anakuwa a distratction kwa agenda za rais na CCM kwa ujumla, kwa sababu ni vigumu ku-communicate na wananchi ambao tayari wana huo mzigo vichwani mwao kwamba waziri wa serikali yetu ya Tanzania, anaweza kuwa na mapesa yote hayo kwa mabillioni nje ya nchi yetu, pamoja na uchunguzi kuwa unaendelea lakini sasa rais wetu atakuwa akitakiwa kujibu maswali ya Chenge, kila anapokwenda, viongozi wetu toka wiki iliyopita wanasumbuliwa na hayo maswali ya Chenge, sasa yeye kwa nini asielewe kuwa kupumzika kwake ni kwa manufaaa ya taifa, na agenda ya maendeleo ya wanachi? I mean si kweli kwamba kuna mwananchi anayemchukia au kumuonea wivu, hapana lakini ni clear kuwa hela alizonazo ni nyingi mno na zinahitaji maelezo, ingawa tayari tumeshpewa a hint na wazungu wa UK kuwa zimetokana na deal ya Radar, sasa ni wajibu wa waziri kumpungumzia rais mzigo wa kumlazimisha kumuondoa, waziri Chenge, angejiuzulu tu mapema.

2. Tunasema RO na Hosea, nao pia wajiuzulu kwa sababu haiwezekani kwamba wao ni viongozi wa vyombo muhimu sana vya dola, ambavyo moja ya kazi yake muhimu kwa taifa ni pamoja na kusimamia haki na sheria za jamhuri, sasa sheria zikianza kuvunjwa na viongozi wa juu, utakuwa unajenga taifa la namna gani hilo? Wao walipaswa kuwa wa kwanza kumfahamisha rais au bunge letu kuhusu mapesa yote waliyonayo viongozi wetu nje ya nchi na ndani pia, ninajua kuwa rais wa jamhuri anpohitaji kumpa kiongozi nafasi ya juu katika taifa ni lazima aptiwe ripoti kamili ya maisha binafsi ya yule kiongozi anayetarajiwa kupewa nafasi hiyo, unless wakituambia kuwa walimfahamisha rais lakini akawachagua anyways, ama sivyo wao sasa wanatakiwa wajiuzulu kwa manufaa ya taifa, again hakuna anything personal hapa kwenye hii ishu ya Chenge, lakini haiwezekani haya matatizo yakawa yanatokea bila viongozi kuwajibika, kumbukeni kuwa mauaji yalitokea Shinyanga, waziri Mwinyi aliyekuwa Dar, akajiuzulu,

Kwenye hiii ishu ya Chenge, nyinyi viongozi wawili mmetuangusha wananchi wote, haiwezekani sisi nchi huru ya Tanzania, tunakuwa ambushed na habari nyeti za mapesa za viongozi wetu na wazungu, au wakoloni waliotupa uhuru miaka 45 iliyopita, hivi vitengo viwili ni vitengo vinavyopewa mapesa mengi sana ili kulinda sheria za taifa letu, sasa kama zinavunjwa namna hii kama mchezo wa kuigiza, tutamuaminia nani? tunawaona maofisa wa usalama wakisaifiri kila kona ya dunia, tunajua kuwa wengine wako stationed kila kona ya dunia, exactly wanafanya nini huko? As a nation tunawalipia kuishi huko ili wawe wanafanya nini? Mimi nilifikiri hiii ndio ilipaswa kuwa kazi yao hasa ya kujua kiongozi gani ana mapesa kiasi gani? Mara kwa mara Chenge yuko US, tena hasa kabla hajawa waziri alikuwa hakosi huko, mimi sio usalama lakini ninaweza kukutajia hata masehemu ambayo alikuwa akionekana mara kwa mara kama White Plains, sasa inakuwaje maofisa wa usalama wasijue?

Halafu sio yeye tu, viongozi wengi sana wana tabia ya kwenda huko majuu kwa siri siri, ukikutana nao utawasikia usimwambie mtu kuwa nipo, WHY? Halafu kila siku tunatishwa na maofisa wa usalama ooh yule bwana ni usalama, yule fulani usomuone vile ni usalama yule, I mean ni usalama wa nini hasa? wengine kazi yao ni kuzengea wanawake tu wa watanzania wakiwa kazini kubeba mabox, kazi kutishia wake wa wananchi na magari ya kibalozi, kumbe kazi hakuna? Off course kuna wanaojiheshimu na kuchapa kazi, lakini wengi wao ni wasaniii tu kama kina Chenge, sasa ninasema kuwa saa imefika tena wakifanya mchezo hawa maofisa uchwara wanashinda kutafuta wake wa wananchi wakiwa makazini huko Ulaya na US, nitawasema hapa mpaka kwa majina kamili na majina ya wanawake waliowahujumu, let the chips fall where they may, kwa sababu Mheshimiwa RO umeletewa haya matatizo na maofisa uchwara kama hawa, lakini as far as our nation goes ni vyema ukajiuzulu tu ili kulinda heshima ya Usalama wa taifa, na heshima ya rais wetu wa jamhuri, sisemi kuwa unahusika na hizo pesa, lakini the fact kwamba sisi wananchi tumeshindwa kujua haya ya Chenge kuwa na mapesa yote haya, wakati chombo unachokiongoza tumekupatia kila kitu available at your own choice, halafu as taifa tunakuja kuingia aibu ya namna hii kwa kweli ni un-acceptable kabisa, ni lazima kuwajibika kwa taifa na wananchi kwa ujumla.

Saaa ya kujiuzulu uongozi wetu wa taifa ni sasa, maana hivyo vyeo ni dhamana tu, ni vyetu sisi wananchi.

Ahsante Wakuuu!
 
I got a story to tell about Usalama wa Taifa.

In early 80's we had a birthday party at home, Muziki ulikuwa unatwanga kwenye kinu cha wati 100, tumekaa tunaserebuka, ghafla bin vup, likaingia gari wakashuka jamaa wawili. Wakauliza Mzee mwenye nyumba yupo wapi? tukampeleka kwa Mzee Kishoka.

Sikujua kilichotokea mpaka miaka 12 baadaye, wakati Mzee Kishoka tunapiga stori akanikumbusha ile party ya Bafudei! Akaniambia "unajua ni nani wale waliokuja siku ile?" nikamwambia sijui. Akaniambia wale jamaa walikuwa jamaa wa Usalama wa Taifa. Walikuja kuuliza ni wapi Mzee Kishoka alitoa Kinu chenye kutwanga Mziki kwa nguvu kiasi hicho, wakadai mpaka stakabadhi, kisha wakaondoka.

Sasa ikiwa sauti kubwa ya mziki na pati ya watoto iliwaleta Usalama wa Taifa nyumbani kwetu, inakuwaje "vijisenti" vimewapita kando?
 
Hivi wakuu wa huko london, ni kweli kwamba hiyo nyumba mpaka leo kuwa iko mikononi mwa homeless wa kizungu, ambao sheria za huko zinawaruhusu kuingia na kuichukua nyumba yoyote ambayo ni abandoned?

Nasikia hata mahakamani tumeshindwa maana ni haki yao kuihsi humo, tena according to the dataz, ni nyumba pekee ambayo iko kwa matajiri, lakini haina usafi wala umeme, tena wazungu wa huko nasikia wanatulaaani sana on this house!

Jamani kuna anyeweza kuzithibitisha hizi info?

Mkuu ES,

Heshima yako.

Sasa unajua UK wana sheria inayoruhusu watu wasio na makazi (squatters) kuingia katika jengo lolote lisilotumika kwa zaidi ya miezi mitatu.

Sasa kwa kuwa wazungu hata umuone anakunywa bia mitaani na kalewa chakari, huwa wanazijua sheria vizuri sana kiasi cha kufanza tathmini ni nyumba ipi haina mtu ndani na kama haijazuiwa kwa mambao au mavyuma kuzunguka pembe zote nne basi inafaa kukaliwa kuzingatia kwamba hamna mtu ndani.

Kuna sheria (criminal justice) ya kujaribu kuzuia hawa jamaa-squatters wasiingie katika nyumba au shamba au ua au jengo lolote lile.

Sheria hii imejigawa katika sehemu nyingi kama ifuatavyo nanukuu kwa kiingereza:

Sections 72, 73 & 74: Squatters - and Protected Intended Occupiers

These mean changes to section 6 of the Criminal Law Act of 1977, and apply only to residential property. DROs ('displaced residential occupiers', an extremely rare phenomenon!) and PIOs ( 'protected intended occupiers') - or others who can prove that they are acting on behalf of them - are made exempt from the protection previously given squatters and are permitted to use violence to secure entry.

It becomes an offence not to leave premises when requested to by a PIO or DRO, liable to 6 months' imprisonment and/or a fine of 5000. Section 74 introduces a new offence of deliberately or recklessly making a false statement to claim PIO status. The definition of a PIO has been extended slightly. -mwisho wa kunukuu.

Sasa kama bado ubalozi unashindwa kuipata nyumba yetu pale Highgate, ni kwa sababu nyumba yenyewe( wanavodai hao squtters) haikuwa na mtu na wala haikuwa na dalili za kuishi watu humo ndani na kwa sababu haikuweza kuzuiwa hata madirisha hawa squatters wana haki ya kuingia humo na kuanza maisha yao upya.

Hebu angalia namna squatters wanavoelekezwa namna ya kuingia katika empty property na hawa waliingia katika jumba la ubalozi wetu kiulainii.

NOTES FOR NEW SQUATTERS

SQUATTING IS STILL LEGAL

(*note this only applies to England and Wales)

Despite the introduction of the Criminal Justice Act, Squatting is still legal. Squatting means occupying empty property to live in and is a necessity for many. Squatters have the same basic rights as anyone else, and can not be evicted without the owners carrying out certain civil legal proceedings first

Finding a Place

There are thousands of empty properties, some of which are more obvious than others. The most obvious are the ones with steel doors, which can be hard to get through, but boards, or general abandoned look are a good sign.

Look around and ask around. Local squatters' groups and ASS have lists of empty properties, but don't rely on everyone to keep them up to date. Make sure the place is actually empty before doing anything.

If you are looking at a house, it is best to squat one that has been empty for at least two or three months i.e. a little bit run down. You will probably be able to live there longer.


Getting In

Many empty properties can be walked straight into, as they have become insecure through vandalism. It is an offence to break into an empty property if anything you do can be classed as "criminal damage".

In theory therefore, the police can only arrest you if they catch you "red-handed", e.g. with a crowbar in your hand, or if there are witnesses.

Dealing with the Police

If the police arrive, don't open the door, speak to them through the letter box. Explain that you are not a burglar; you are living there because you have nowhere else to live. Do not say that you broke in. You can say you were walking past and the door was open.

Be polite but firm with them. Once you are inside a place and have "secure access", (i.e. your own lock on the door) the main danger of arrest and prosecution is over. Try to get the front door reasonably secure as fast as possible (i.e. change the lock).

If the police insist on coming in, tell them that no arrestable offence is taking place and they should leave you alone.

In the unlikely event that you are arrested, phone RELEASE (0207-603 8654) and they will put you in touch with a solicitor. You have the right to make one phone call. The police must release you within 24 hours, or charge you. You still do not have to tell them anything other than your name, address and date of birth.


Staying In

Send a letter addressed to yourself in your new home. this is sufficient proof for the police that you live there.

Make sure that there is somebody in as much as possible in the first week or two, especially if the place is being worked on. It is often a good idea to keep a copy of the squatters' legal warning by the front door, because the owners may come round and try to repossess the place by pretending that they thought there was no-one living there.

It is illegal for them to throw you out if you are in physical occupation of the place when they arrive. They can be prosecuted if they do this.

If you have to leave the place empty, leave a radio on to give the impression that somebody is in. Explain to anyone who shows an interest or hassles you that you are homeless and have a legal right to occupy the empty property.

It is a good idea to keep fairly quiet for the first two or three days to give the neighbours time to get used to you. Normally you will have no interference from them.


Who owns the place?

If you need somewhere now, don't worry too much about finding out who owns the place before you occupy it - just go for it. Otherwise, or once you're in, it can be useful to know. Keep all letters, especially for previous tenants as these can give you some idea who the place belongs to and why the previous tenants left.

All this information may help you stay longer in your home if your case comes to court - call ASS for more information on this.

An Estate Agent sign will probably mean it is privately owned. The local authority Planning Department keeps records of all planning applications for each address in its borough.

These records are for public scrutiny and usually arranged in alphabetical order by street or block name. Each application will have the applicant's name i.e. the owner or property agent.

Her Majesty's Land Registry keeps an open register of ownership of properties that you can consult for £5. You will need Form 313 which you can get from local libraries, CABx etc. or call the main office on 0171 917 8888. Often the best way to find out who owns a property is to ask local people such as trustworthy neighbours.


P.I.O.s

P.I.O. stands for PROTECTED INTENDING OCCUPIER (Sec. 7 of the 1977 Criminal Law Act), someone who has a right to live in the premises and requires the premises to live in, and has the necessary certificate or statement. They can get you out without going to court.

A genuine P.I.O. is either a tenant or freehold owner of the premises.A tenant of a Council or Housing Association must have a certificate proving their status. A freehold owner, or tenant of a private landlord must have a statement signed before a justice of the peace or commissioner for oaths. All PIOs must be able to move in straight away.

A P.I.O. does not automatically mean that you will be evicted. There are various legal defences and arguments that can be used against P.I.O. proceedings.


Court Cases

At some point you will probably receive a summons to appear in court. Always turn up to fight your case, particularly if it is the new Interim Possession Order hearing, which could result in having only 24 hours to leave or face arrest.

The owners are supposed to show that they have a right to the place and you don't, and there are various ways of claiming that they haven't proved it, haven't gone through the procedures properly etc.

Call ASS for advice as soon as possible. ASS have many years experience of getting adjournments or even tenancies, and a computer with all the arguments on.


Getting connected

It is normally in your interest to have a legal supply of gas and electricity. If you don't, you could be disconnected or charged with theft, and some councils have been using this to carry out dodgy evictions.

Electricity

You should go to a showroom of your regional Electricity company and probably have to fill in a form. In many places they are demanding to see a tenancy agreement unless you can tell them you had an account which was up-to-date at your previous place.

It can be better to go to a showroom in an area less known for squatting and say you work in the area and can't get to the local one.

Don't tell them you're squatting as they are not obliged to supply you and are increasingly reluctant to do so. Phone ASS for more information if you have problems.

Gas is similar but tends to be less hassle.


Kwa hio mtu ukiwa na nyumba au jumba kama huakikishe kuna hata binamu anaishi humo ujue imekwenda kwa "squatters" na itachukua muda kuipata tena.

Sasa sina uhakika wa kwamba nyumba ya ubalozi imerudishwa ama vipi.

Hayo ndio mambo ya ughaibuni mkuu, lakini kwa wazawa tu!
 
molex23 anasema JK ana act, lakini ana act smartly?. wazee mnaionaje hii?. tusije tukawa tunamuandama Muungwana kumbe na yeye ana stratergy yake ya kuwashughulika hawa mafisadi.

isije ikawa Muungwana anawazunguuka mafisadi bila wao kujijua, taaratibu taratibu lakini akawa anajaribu kuwapush mafisadi nje ya system.

hebu tuliangalieni hili nalo!.
kusafisha nchi iliyooza siyo lelemama, huwezi kukurupuka na kuagiza mtu kadhaa na kadhaa wakamatwe mara moja.

hebu tuwe critical kidogo hapa je Muungwana ana mbinu gani ya kudeal na watu hawa na sisi tunadhani mbinu gani itumike?. lakini at the end of the day si tunataka hawa watu washughulikiwe?
 
Kipindi ambacho RO amekuwa dg ameshindiwa kusaidia kuzuia,
-Mkataba wa Richmond
-Kusainiwa kwa mkataba wa Buzwagi hotelini nje ya nchi
-Swala la Chenge mpaka anaruhusiwa kusafiri na Rais wetu nje ya nchi.
 
Hivi Mzee Sawaya, Hamza Aziz, Philemon Mgaya, Emilius Mzena, Zacharia Maftah, Solomon Liani na wengine wote waliowahi kuwa Polisi, Usalama, PCCB na hata Jeshini, wakikaa pamoja wawe hai wai ni wafu wakaulizana waliyofanya kina Kombe, Apson, Mahita, Mahundi, Kamazima na sasa Mwema, Hosea na Othman, si watashangaa sana?
 
I got a story to tell about Usalama wa Taifa.

In early 80's we had a birthday party at home, Muziki ulikuwa unatwanga kwenye kinu cha wati 100, tumekaa tunaserebuka, ghafla bin vup, likaingia gari wakashuka jamaa wawili. Wakauliza Mzee mwenye nyumba yupo wapi? tukampeleka kwa Mzee Kishoka.

Sikujua kilichotokea mpaka miaka 12 baadaye, wakati Mzee Kishoka tunapiga stori akanikumbusha ile party ya Bafudei! Akaniambia "unajua ni nani wale waliokuja siku ile?" nikamwambia sijui. Akaniambia wale jamaa walikuwa jamaa wa Usalama wa Taifa. Walikuja kuuliza ni wapi Mzee Kishoka alitoa Kinu chenye kutwanga Mziki kwa nguvu kiasi hicho, wakadai mpaka stakabadhi, kisha wakaondoka.

Sasa ikiwa sauti kubwa ya mziki na pati ya watoto iliwaleta Usalama wa Taifa nyumbani kwetu, inakuwaje "vijisenti" vimewapita kando?

Hii lazima ilikuwa kipindi cha Nyerere...
 
Hii lazima ilikuwa kipindi cha Nyerere...

Which tells you that even though it was odd, but UWT was efficient about "Maslahi" ya Taifa that they needed to know where would one have a Sansui amplifier and Garrand turntable with Quadraflex speakers while kila mtu alikuwa anahimizwa awe na Redio ya Neshno kama si Phillips ndiyo yenyewe.

At least there was accountability to follow up on petty things that were considered "luxury", sasa the real Luxury is being minimized as "vijisenti" and UWT feels no obligation to pekua the source of "vijisenti"!

Are they belly full after their own "vijisenti" vya Kagoda?
 
Kuna tatizo hapa kumuita JK mnafiki na faidhina au baladhuli mkubwa kwa watanzania??
Maana kama yeye anajifanya kuliutubia Taifa na kujifanya anaelezea hali ya Taifa huku akijua wazi ukweli na mambo yanayoendelea, huu si ndio unafiki wenyewe

Poor Jakaya Mrisho Kikwete, nimesema na narudia tena Kikwete ni Mnafiki kwa wananchi wake, hata mjinga atagundua, wewe kwa skendo zote hizi lakini jamaa anajifanya haoni na kuishia kuunda vijikamati vya kipumbavu tu

Haya kama anapita hapa aone maneno yangu, au akina Shy na kadampinzani mkamueleze kuwa
Baba H anasema umeshindwa tena sana hata miaka miwili bado, na wewe ni mnafiki kwa wananchi wako
Shame on you Kikwete

Ni sawa kabisa, tena hizi kamati ni njia nyingine ya kuwapa watu ulaji..yani ukichaguliwa kwenye kamati basi mambo yako mazuri..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom