Rashid Matumla na Maneno Oswald walipotoka droo

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
734
kushoto.JPG
matumla.JPG
rashidi.JPG

Bondia Rashidi Matumla (kushoto) akiwa chini baada ya kuteleza uku mpinzani wake Maneno Osward akimsubili kwa ajili ya kumpiga wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana wakati wa sikukuu ya Xmasi mpaka mwisho wa pambano point ni 99 kwa 99 hivyo kuwa droo.
 
Back
Top Bottom