Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,555
- 19,430
Sina uhakika kama hapa ni mahala pake, ila kwa vile ndiyo sehemu ninayotembelea mara kwa mara, nimeamua kuiweka hapa. Modereta anaweza kuihamishiwa panpahusika.
Nimeangalia kwa makini sana mavazi ya spika na yale ya majaji wetu nikajiuliza swali moja kuhusiana na mbunifu wa mavazi hayo; je aliangalia rangi za bendera ya taifa kwa makini kabla ya kuyabuni mavazi ya majaji wetu?
Rangi ya mavazi hayo haifanani kabisa na rangi za bendera ya Taifa, inabidi uwe makini sana kuangalia ile nembo ya shingoni ndipo ujue kuwa hawa ni majaji wa Tanzania.
Najua kuwa majoho ya majaji yanaweza kuchukua rangi yoyote ila nadhani kuwa tungekuwa systematic zaidi kwa kuhakikisha kuwa rangi za majoho ya majaji wetu zinaashitoa serikali ya Tanzania hasa kwa vile rangi za joho la spika wetu linaonyesha hivyo.
Nimeangalia kwa makini sana mavazi ya spika na yale ya majaji wetu nikajiuliza swali moja kuhusiana na mbunifu wa mavazi hayo; je aliangalia rangi za bendera ya taifa kwa makini kabla ya kuyabuni mavazi ya majaji wetu?
Rangi ya mavazi hayo haifanani kabisa na rangi za bendera ya Taifa, inabidi uwe makini sana kuangalia ile nembo ya shingoni ndipo ujue kuwa hawa ni majaji wa Tanzania.
Najua kuwa majoho ya majaji yanaweza kuchukua rangi yoyote ila nadhani kuwa tungekuwa systematic zaidi kwa kuhakikisha kuwa rangi za majoho ya majaji wetu zinaashitoa serikali ya Tanzania hasa kwa vile rangi za joho la spika wetu linaonyesha hivyo.