Rangi Nyekundu kwenye bendera ya CHADEMA ina maana gani?

Wakuu, mashujaa waliotoa uhai wao waenziwe, mfano, wale wa zamani, kina Mkwawa, wapiganaji wa majimaji,Mtemi Isike, Mirambo na wengi wengine. Hawa wamesahauliwa, tunasema eti tumepata uhuru bila kumwaga damu! Dhana hii si kweli hata kidogo.

Rangi nyekundu iongezwe katika bendera yetu ili kutambua na kuendelea kukumbuka michango yao na kutoa ujumbe kuwa tuko tayari kutetea haki yetu hata ikibidi kwa kumwaga damu. Bendera yetu inapotosha sana, wakati mwingine tunashindwa kutoa majibu tunapoulizwa ilikuwaje mkapata UHURU bila kumwaga damu!

Wale mashujaa wa zamani na hawa wanaoendelea kumwaga damu zao kupigania heshima na haki ya Nchi yetu, mfano mashujaa wa vita vya Kagera, na hawa wa hivi sasa wapewe heshima na kumbukumbu ya kudumu. Hili tutalisemea pia wakati wa kutoa maoni ya Katiba.

Sababu ya kuwapo kwa fikra ya kutomwaga damu ni kuwa tunaangalia kipindi kifupi cha enzi za TAA, TANU na hadithi za magamba. Kufanya watu wajinga na kudhani eti haki haipatikani kwa mapambano! Tulianza kudanganywa muda mrefu sana. Ukweli ni kwamba mapambano ya kudai haki na uhuru, heshima ya ubinadamu yalianza kipindi kirefu na sasa yanaendelea.

Kwa kuwa magamba hayakubali fikra mpya, CDM mlikumbuke hili mwaka 2015.

Lingine, CDM, anzisheni mara moja kitengo cha habari na documentation. Tunzeni matukio haya ya uonevu ya Morogoro, Iringa, Mbeya, Arusha na kwingineko. Tunzeni hard na soft copies, from time to time, wananchi wawe wanakumbushwa unyama huu na hasa mwaka 2015. Itawasaidia sana cz naamini kufikia kipindi hicho mtakuwa tayari mmeanzisha media zenu.

Mkifanya hivi, mtasaidia wengi na hata wale wanaodhani eti Watanzania wanasahau sana. Kama ni kweli, tuwasaidie Watanzania hawa kwa kuwakumbusha, waone, wasikie na kuchukua hatua.
Hivi hawa wote wanaokufa ni wapinanaji wa CHADEMA? watanzania mbona sasa tunayumbishwa? mara waandishi mara wapiganaji wa CDM
 
Rangi nyekundu bendera ya cdm ina maana gani?
Mkuu unauliza majibu wakati mtoa mada ameeleza kila kitu. Ina maana ya damu imwagike 2 ili mradi wanajipatia umaarufu kupitia hilo. Hivi CDM wanapofanya mikutano na Polisi, wanafanya hivyo kuwa wanaouawawa ni wafuasi wao au vipi, sijaelewa, nini hasa yanakuwa madai yao? na kama ni wafuasi wao kwa nini wanakwenda kwa vivuli vya waandishi wa habari na wananchi wa kawaida, jambo linazuia hisia miongoni mwa wananchi kuwa wanaouawawa ni raia wasiyo na hatia wakati kumbe ni wapambanaji ambao wamekuwa wamejiandaa.
 
Mkuu unauliza majibu wakati mtoa mada ameeleza kila kitu. Ina maana ya damu imwagike 2 ili mradi wanajipatia umaarufu kupitia hilo. Hivi CDM wanapofanya mikutano na Polisi, wanafanya hivyo kuwa wanaouawawa ni wafuasi wao au vipi, sijaelewa, nini hasa yanakuwa madai yao? na kama ni wafuasi wao kwa nini wanakwenda kwa vivuli vya waandishi wa habari na wananchi wa kawaida, jambo linazuia hisia miongoni mwa wananchi kuwa wanaouawawa ni raia wasiyo na hatia wakati kumbe ni wapambanaji ambao wamekuwa wamejiandaa.

Pointless kajipange upya,je ni raia wangi wameuawa na polisi bila hatia?Swetu Fundikira -Jwtz,Igunga,Ali na Mwangosi-Polisi,Wafanyabiashara wa madini Moro-Polisi,Arusha-Polisi,Bunyankulu-Polisi nk,hiyo ni mifano tu.
 
Habari jamani, napenda kuuliza zile rangi kwenye scaf na bendera ya CHADEMA kila moja zina maana gani?
 
Inasaidia nn wewe kujua maana ya rangi rudi shule darasa la tatu ukasome by the way type of colour mean nothng to the development of our country
 
Inasaidia nn wewe kujua maana ya rangi rudi shule darasa la tatu ukasome by the way type of colour mean nothng to the development of our country

Watakuja watu wanaojua watajibu ilikuwa sio lazima uropoke. Hata mimi ni Chadema damu ila kwa sababu sijui maana yake(sio lazima sana) ndio maana nikapita kistaarabu,wewe umekuja kuropoka. Sasa mambo ya development of our country yametoka wapi?
 
Watakuja watu wanaojua watajibu ilikuwa sio lazima uropoke. Hata mimi ni Chadema damu ila kwa sababu sijui maana yake(sio lazima sana) ndio maana nikapita kistaarabu,wewe umekuja kuropoka. Sasa mambo ya development of our country yametoka wapi?
Kazi kweli kweli :frusty:
 
inafikia wakati watu munakuwa hamjui maana ya jukwaa hili.japo mnajifanya munajua lakini mimi sioni maana ya kuanza kuniporomoshea yote hayo.inakuwaje WEWE KAMA MIMI ni wafuasi unaulizwa hujui hili wala lile ndo maana nauliza.HALAFU mbaya zaidi nauliza rangi mtu anakurupuka na DEVELOPMENT mimi nimeuliza development au rangi acheni bwana munaboa sana
 
Inasaidia nn wewe kujua maana ya rangi rudi shule darasa la tatu ukasome by the way type of colour mean nothng to the development of our country

BeDO usijifanye mjanja na wakati isitoshe na wewe hujui hata hiyo development ni nini.by the way kuna msomi alisema DEVELOPMENT is people centred kama mtu hujamwelimisha hakuna development hapo.cha kukushauri kama hujui kitu kaa kimya waje wanaojua na si kujifanya mjanja for nothing.
 
Ndio tabu ya vijana wa bavicha ukiwaangalia wanavyoandama utawajua tu, haiajabishi wakachagua rangi ya kumwaga damu.
 
Ndio tabu ya vijana wa bavicha ukiwaangalia wanavyoandama utawajua tu, haiajabishi wakachagua rangi ya kumwaga damu.

Kuna rangi ya kumwaga damu???
Hebu tufahamishe ni ipi hiyo??
 
hapo BAVICHA ndo kiroho paaa! kumbe wanakimbilia ushabiki bila kujua mambo. pamoja na helcopter second hand ku2pigia kelele lkn hawajawaeleza maana ya rangi za bendera yao lol! usikute hata mnyika hajui
 
Back
Top Bottom