TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Napenda kusikia maoni yenu juu ya rangi nyekundu kwenye bendera ya CHADEMA inayotumiwa kuandika signature ya Chadema huku ikiwa bolded na jina la chama hicho likiwa na muendelezo wa "aaaaaa" mwishoni.
Kuna lolote la ziada au ni ushabiki umekolea?
Naomba kujua kwa sababu maandishi na alama mara nyingi huashiria jambo hasa katika majukwaa ya kidini au siasa.
Kuna lolote la ziada au ni ushabiki umekolea?
Naomba kujua kwa sababu maandishi na alama mara nyingi huashiria jambo hasa katika majukwaa ya kidini au siasa.