Goldman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 1,930
- 2,397
kwa wale wenye idea na magari, ninataka gari inayoweza kwenda rough road na iwe ya bei cheap nikaona range rover (1997-1999) iko cheap CIF, ila bado sijajua ushuru wake. Ushauri naoumba ni kuhusu spare kama zinapatikana na je ni gari ambalo nikitaka kwenda Kigoma ntaanza safari bila mashaka(durability)! Kuhusu ulaji wa mafuta its ok najua litabwia but as long as ni gari la kazi its ok. Ntashukuru sana kwa maoni yenu.