For good plans check hii site www.globalhouseplans.com
kuna mshikaji wangu alimpelekea injinia mmoja bongo ramani kutoka global website jamaa akaanza kumwambia aiwezekani basi jamaa akamwambia ok nichoree yeye akuchora akaja na ramani ameiona south africa....
jamaa akamwambia tofauti yake na yeye ni nini???? ukawa mtafaruku mkubwa tu jamaa kuanza kumwambia anamdharau
Mkuu Semilong,kutoka web site hii mimi nimeona plani nzuri sana na tofauti, za nyumba kutoka sehemu mbali mbali duniani.
Mtu akikwambia plani fulani haifai(ile unayoipenda) basi ana matatizo ya upeo wa uelewa wake.
Kutoka kwenye site hii mimi nisha jenga nyumba tatu na ambazo zinapendeza sana.