Ramani Ya Helligoland Treaty: Ziwa Nyasa Lote Liko Malawi

Tunajuwa nchi hii wakimbizi wengi hata wewe na mjengwa naaanza kuwa na wasiwasi wa uzarendo wenu.
 
Am sure kuna wazungu wanatucheka sana kwa kurely on their maps!
zile mapa zilitengenezwa kwa maono na matakwa yao na waafrica hatukuhusishwa kikamilifu iweje leo ndo iwe basis ya mjadala.
Otherwise tukiitumia hii ramani Africa tutaonekana brainless,Malawi and Tz have to sit down and discuss their fate on this wazungu hawahusiki apa!Mnawapa kichwa tuu
 
Ni ukweli mchungu sana. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Ziwa lote ni la Wamalawi.

Watanzania hatutaki vita wala ugomvi na majirani zetu, kama tuna hoja tuwahi mahakamani sheria ichukue mkondo wake.

Kama msomi lazima ufanye critical analysis kabla ya kushobokea hoja. Kwa kuzingatia ramani hiyo hiyo, hivi inakuingia akilini leo tuwaambie Rwanda na Burundi kuwa ni eneo letu hiyo wakabidhi? Pambafuuuu wewe
 
Ni ukweli mchungu sana. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Ziwa lote ni la Wamalawi.

Watanzania hatutaki vita wala ugomvi na majirani zetu, kama tuna hoja tuwahi mahakamani sheria ichukue mkondo wake.

Kama msomi lazima ufanye critical analysis kabla ya kushobokea hoja. Kwa kuzingatia ramani hiyo hiyo, hivi inakuingia akilini leo tuwaambie Rwanda na Burundi kuwa ni eneo letu hiyo wakabidhi? Pambafuuuu wewe
 
Hivi wakati huo Tabora si ililkuwa inajulikana kwa jina la West Province ? naona kama hiyo ramani imebumbwa
 
Kwa mujibu wa iyo ramani kama kweli itatumika kutushinda then kuna haja ya kuzidai Rwanda na Burundi!
maana UK anakomaa kuwa mipaka ya enzi za ukoloni iheshimiwe
 
Jamani tukubali au tukatae!! Ziwa lipo pasu kwa pasu...maana yake nusu Tanzania na nusu Malawi, na Malawi wajuwe hakuna mjadala wa ziada tofauti na hapo. Na hata wakaishtaki Tanzania MBINGUNI msimamo hauta badilika. Habari ndiyo hiyo....
 
Watanzania wanaoleta hoja kama hizi ni heri tukawachukulia kama wasaliti.
 
Mkuu una-undermine sana hii kitu! Think of who is behind the scene!
.........hakuna kuangalia nani yupo nyuma ya kitu ambacho unaamini ni haki yako, hapa ni kukipigania tu, hivi ukikuta mtu anamtongoza mkeo/mmeo utaanza kuangalia nani yupo nyuma ya jambo hilo? woga wa kitoto
 
Watanzania wanaoleta hoja kama hizi ni heri tukawachukulia kama wasaliti.

Jamani nyinyi mbishieni tu huyu lakini ukweli wa mambo kwa kipindi kile cha karne ya 19 hivyo ndiyo ilivyokuwa. Ziwa lote lilikuwa nyasaland na siyo Tanganyika wala Mozambique. Hebu jaribuni kufuatilia huu mjadala kwa uangalifu na siyo kurukia.

Lakini kulikuwa na maendeleo mengine baadae. Na ndiyo maana Mozambique walipata nusu yao lakini Tanganyika kwa vile ilikuwa na mtawaliwa mmoja na Malawi ambaye ni Muingereza hakujali kufanya lo lote kuhusu kusogeza mpaka huu.

Na baada ya uhuru sijui kama Tanzania ilifanya juhudi yo yote ya ziada kujaribu kuurekebisha mpaka kwa mujibu wa sheria mpya za kimataifa.

Lakini kwani nini? Wachieni washikilie ziwa lao lakini vyanzo vya maji yanayoingia ziwani vinatokea milima ya Livingstone ambayo asilimia kubwa iko Tanzania. Tungekuwa matajiri tungeweza kuya divert yale maji tukawaachia na ziwa lililokauka.

Wakijifanya smart Tanzania iko smarter, zuia maji yote kwa mambo yenye manufaa wachie kidogo tu uone kama watasurvive.
 
Ziwa ni letu na hatuwapi hata walete ushahidi wa bob marley hawapati wa serikali wakilitoa basi watatuambia kiuno cha nyoka kilipo.......Malawi wanaona muingereza atawasaidia lakini watapetape ivyo ivyo wakijitela tumewachapa na mawalawi tunaichukua sisi
 
Ni ajabu kwa watu kuijadili ramani ambayo inaoneshwa kabisa kuwa imechorwa na mhuni mmoja hivi karibuni.

Hivi inakuwaje watu hawajiulizi mipaka ya Kenya, Uganda, Zaire, Zambia, malawi na Mozambique, mbona haionekani kwenye ramani? Kama ramani ya namna hii ndio ilichorwa na wazungu enzi za 1890 basi wazungu hao wasingetupiga bao hata kwa wakati huo.

Hii sio ramani ya heligoland treaty wala nini.. it is a kind of a hoax!
 
Natamani nichore picha uone yule mama wa pale kyela anavochota maji ziwani. Yaani inabidi asimame katika hali ambayo miguu yake isiingie kwenye maji. Ikiingia kwenye maji tu atakuwa ameingia malawi bila kibali. Apo vipi. Yani haki aliyazaliwa nayo pale kyela tangu kabla ya ukoloni anabaki akiitazama kwa mbali. Kisa mkataba wa kikoloni. Mgogoro huu ni mkubwa kwa sababu sio tu kwa kigezo cha haki ya wanakyela na maeneo ya jirani, bali pia unaifuta rwanda na burundi na kuwa mikoa ya tanzania. Hapa napo patamu. Sipati picha kagame. Hapatatosha. Patachimbika aisee. Hapa tu malawi lazima ishindwe ama kwa amani au kwa mtutu wa bunduki.
 
Nyerere alishamaliza hii kesi siku nyingi; Joyce Banda aende akuulize msukule wa Kamuzu Banda utampa majibu

Chama'
Gongo la mboto DSM
 
hiyo ramani ya ajabu inaonyesha tanganyika tu nchi jirani haionyeshi,au wakati wanachora hiyo ramani nchi jirani hazikuzaliwa.
Si hivyo tu Idawa,angalia mpaka katika Maziwa yote mengine umepita katikati ya maji. Mchoraji mjin.a huyu amesahau hata kaziwa kamoja kadogo nadhani natron karibu na Kilimanjaro,napo mpaka umepita kati. Ndio maana nilisema mwanzo huyu atakuwa mmalawi kwani watanzania tunafundishwa ramani na mipaka ya nchi yetu tangia darasa la tatu!
 
Hiyo ramani umetoa wapi?serikali haiwezi kingangania kitu ambacho hawana uhakika nacho,hata kwenyehistiria tumesoma miaka ya 79 kuwa ziwa ni mali ya nchi mbili jetangia hapo walikuwa wapi mpaka leo?acheni ujinga bana
 
Hiyo ramani umetoa wapi?serikali haiwezi kingangania kitu ambacho hawana uhakika nacho,hata kwenyehisto ria tumesoma miaka ya 79 kuwa ziwa ni mali ya nchi mbili je tangia hapo walikuwa wapi mpaka leo?acheni ujinga bana,ukiangalia hiyo ramani utajua ni mtu wa malawi kachora,kwani ramani yote maji wanashare nchi mbili imefika nyasa duu wamepinda hatutakubali kuonewa lazima tutetee haki hata kwa kichapo ila naomba isifike hapo wazungumze muafaka utapatikana
 
Back
Top Bottom