Ramani Ya Helligoland Treaty: Ziwa Nyasa Lote Liko Malawi

Kwa muda mrefu wamalawi wamekuwa tegemezi ki uchumi na ki fikra. Wakati w kupigania uhuru wao walikuwa wamewakumbatia na kuwasaidia makaburu. Baada ya hapo wamekuwa wanawaona waingereza kama wajomba zao,wakati wenzao wanawadharau tu. Tatizo na jirani yako badala mkae muongee unaenda kwa wazungu. Hawajui wazungu hawana permanent friends bali wana permanent interests!.By the way kuna wamalawi wanatumwa kutoa hoja zao za uongo humu JF ili ku manipulate akili za badhi ya watanzania wasiojua historia y nchi yetu na dunia ki ujumla. Kuweni makini na hoja zao!.
 
Huyu jamaa atakuwa ni mmalawi, amekuja na kijiramani chake ili atuvuruge. Ina maana hao malawi miaka yote walikuwa hawafahamu kama ziwa ni la kwao hadi kaingia huyo mama? Hapa patachimbika
 
si kweli kwamba lote lipo huko mkuu, sijaona mpaka wa malawi. yawezekana nao upo ufukweni mwa ziwa the other side??
 
Iweje huo mkataba uzingatiwe ktk kipengele kimoja tu cha mpaka wetu na malawi na usizinyatie uwepo wa nchi kama Rwanda na Burundi? pia mbona Mozambique hawajaoneshwa kama wana hisa kwenye ziwa hilo wakti wao pia wanamiliki kwa sasa? Kama jumuiya za kimataifa zinaitambua hiyo ramani kwa sasa, tunataka turudishiwe mikoa yetu ya Rwanda na Burundi pamoja na ziwa kivu vije Tanzania
 
Acha ushamba, sasa kwa hichi kilamani ndio umeona ushadi tosha, soma makubaliano ya mipaka ya majini ndio utaelewa maana yake nini

attachment.php


Msije mkasema mimi ninakinyongo na msimamo wa serikali. Nimeona ramani hii inayoonyesha mipaka ya ziwa nyasa. Sasa nashindwa kujua ugumu unatokea wapi wakati kumbe mambo yako wazi kabisa.

Imetoka blog ya Mjengwa
 
unajua hili jambo liko wazi kabisa, sasa kuna mijitu hapa haitaki tu kelewaaaa

Iweje huo mkataba uzingatiwe ktk kipengele kimoja tu cha mpaka wetu na malawi na usizinyatie uwepo wa nchi kama Rwanda na Burundi? pia mbona Mozambique hawajaoneshwa kama wana hisa kwenye ziwa hilo wakti wao pia wanamiliki kwa sasa? Kama jumuiya za kimataifa zinaitambua hiyo ramani kwa sasa, tunataka turudishiwe mikoa yetu ya Rwanda na Burundi pamoja na ziwa kivu vije Tanzania
 
atakua ni mmalawi kaleta huu uzi hajui hata kuchora, wameshaona mambo yamekua magumu ,hivi kweli duniani kuna nchi gani mpaka upo pembezoni mwa ziwa? aisee ziwa hatuachii kabisaa
 
attachment.php


Msije mkasema mimi ninakinyongo na msimamo wa serikali. Nimeona ramani hii inayoonyesha mipaka ya ziwa nyasa. Sasa nashindwa kujua ugumu unatokea wapi wakati kumbe mambo yako wazi kabisa.

Imetoka blog ya Mjengwa

Huyo mjengwa aache uhuni. Hiyo ramani nimeichora mimi ni project yangu ya Jiografia nikiwa darasa la sita Kisutu Primary School chini ya mwalimu wangu Charles Charles Makala a.k.a 'Double C'. Nakumbuka nilipata maksi 17% na viboko juu. Tehe tehe tehe!
 
Iweje huo mkataba uzingatiwe ktk kipengele kimoja tu cha mpaka wetu na malawi na usizinyatie uwepo wa nchi kama Rwanda na Burundi? pia mbona Mozambique hawajaoneshwa kama wana hisa kwenye ziwa hilo wakti wao pia wanamiliki kwa sasa? Kama jumuiya za kimataifa zinaitambua hiyo ramani kwa sasa, tunataka turudishiwe mikoa yetu ya Rwanda na Burundi pamoja na ziwa kivu vije Tanzania

Huyo Mjengwa ana uhusiano wowote na Sheikh Ponda? Iweje atake Wahutu na Watusi wajumuike na sisi?
 
attachment.php


Msije mkasema mimi ninakinyongo na msimamo wa serikali. Nimeona ramani hii inayoonyesha mipaka ya ziwa nyasa. Sasa nashindwa kujua ugumu unatokea wapi wakati kumbe mambo yako wazi kabisa.

Imetoka blog ya Mjengwa



Mkuu mleta Mada, umeshindwaje kuona mapungufu ya hiyo Ramani?, hapo unaposema hilo ziwa ni la Malawi, Malawi yenyewe iko wapi kwenye hiyo Ramani? je mtu akisema ziwa lipo Zambia na Malawi ni sehemu ya Zambia (North Rhodesia) kutakuwa na makosa gani?
 
anaweza akawa ma mluki wa malawi au atakua mzee wa masharubu kama sikosei tehe teheeee
 
Wacha ujinga wewe , hawa wasela wanataka kutuibia tu raman zao za kizush.
Raman za uhakika anzo warioba....
hiyo ramani ilichorwa asubuhi leo na mhuni mmoja, maandishi yenyewe ya mtoto anaejifunza kuandika.
 
naona raman hii ni " simple skatch map" ya mwanafunzi wa darasa la nane kipindi hicho akiwa anachukua notes darasani. It has no authority and therefore, it is not an authentic document. Please, tell us the source please
 
Ni ukweli mchungu sana. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Ziwa lote ni la Wamalawi.

Watanzania hatutaki vita wala ugomvi na majirani zetu, kama tuna hoja tuwahi mahakamani sheria ichukue mkondo wake.
.........usipojali tumia muda kufikiri na ama kuingalia tena hiyo ramani, maana hoja yako hapa inaonesha ulikuwa unapita tu,.......Msumbiji pia hawana haki kutokana na ramani hii, Rwanda na Burundi ni sehemu ya Tanganyika (kwa ramani hii na wao wana haki ya kusema Tanganyika ni sehemu yao), ukiwa zaidi ya makini, utagundua ziwa hili halikuwahi kumilikishwa nchi yeyote, kulingana na hiyo ramani unaweza pia kusema ziwa lote lipo Tanganyika!!!!!!!! " The Nyasaland Protectorate consists of a strip of land some 520 miles in length and varying from 50 to 100 miles in width, bounded on the east by Lake Nyasa, on the south by Portuguese East Africa, on the west by North-Eastern Rhodesia and on the North by the Tanganyika Territory" (Raia Mwema Toleo Na. 266 pg 8, makala "Suluhu ya uongo wa Malawi na ukimya wa Tanzania")
 
I think the coming president will lead Tanzanians to defend their lake, not at the moment,
 
Tatizo si kutumia kwa wananchi wa pembezoni mwa ziwa, mtaendelea kutumia hadi YESU arudi tatizo lililopo sasa ni kuwa MALAWI wanafanya utafiti wa GESI, MAFUTA na URANIUM na iko hypothesized kuwa kuna kiwango kikubwa cha Gesi na Mafuta. Hapo ndipo Utata ulipoanzia!!
Sasa hiyo ramani mbona ya kiduwanzi?
Wewe tuliza boli, kesi taenda mahakamani.
Watanzania walilitumia, wanalitumia na wataendelea kulitumia ziwa Nyasa.
Hakuna mahakama duniani itayowanyima wakazi wa pembezoni mwa ziwa Nyasa utumiaji wa ziwa hilo.
Swali ni asilimia ngapi ya ziwa itakuwa Tanzania, tuwape 60/40 au 70/30 tumalizane.
 
hiyo ramani ya ajabu inaonyesha tanganyika tu nchi jirani haionyeshi,au wakati wanachora hiyo ramani nchi jirani hazikuzaliwa.
 
Back
Top Bottom