Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Zenj itakuwa kama visiwa vya Ukerewe na itabidi Baraza la wawakilishi livunjwe tuunde baraza la madiwani Unguja na lingine Pemba. Seif awe mkuu wa wilaya Pemba na huku Unguja sijui apewe nani?
atapewa huyu manucler phyisics mzee wa uzinduzi na warsha.