Top Thinker
Senior Member
- Sep 8, 2011
- 183
- 125
hii ndivyo itakavyokuwa, unguja na pemba vinaonekana kama tarafa katika nchi hii kubwa ya tanzania.
Big up prof. Hon. Tibaijuka na waziri wa ardhi wa smz kwa hatua mliyochukua as kuonezewa kwa eneo hili litaiweka jamhuri ya
muungano safe kutoka kwa maharamia.
View attachment 46032
Kama ishu ni kuongezewa km 241, basi ramani haipo sawa....Hii ndivyo itakavyokuwa, unguja na pemba vinaonekana kama tarafa katika nchi hii kubwa ya tanzania.
Big up prof. Hon. Tibaijuka na waziri wa ardhi wa smz kwa hatua mliyochukua as kuonezewa kwa eneo hili litaiweka jamhuri ya muungano safe kutoka kwa maharamia.
View attachment 46032
Aisee?
Sasa Wazanzibari wanalialia nini?
Na hilo ziwa Kusini Magharibi - Linaitwa Malawi au Nyasa? Na jee tuna sehemu ya ziwa hilo, au lote liko Malawi kama wao wanavyodai?
??????????????????????????????????????????safi sana Kikwete na serikali yako. Big up!
wakenya hawawezi kukubali aisee :shock:
Kelele yote ya wazenj kuwa ni nchi kwisha habari. Au watakuwa nchi ndani ya Tanzania kama Swaziland? Na wimbo wao wa Taifa utakuwa wa wilaya au tarafa? Na katiba yao itakuwa labda mwongozo wa viongozi wa vijiji vya Pemba na Unguja. Big up Tibaijuka, tunaomba ombi likubaliwe mapema kabla ya 2015.Hii ndivyo itakavyokuwa, unguja na pemba vinaonekana kama tarafa katika nchi hii kubwa ya tanzania.
Big up prof. Hon. Tibaijuka na waziri wa ardhi wa smz kwa hatua mliyochukua as kuonezewa kwa eneo hili litaiweka jamhuri ya muungano safe kutoka kwa maharamia.
View attachment 46032
Hii ndivyo itakavyokuwa, unguja na pemba vinaonekana kama tarafa katika nchi hii kubwa ya tanzania.
Big up prof. Hon. Tibaijuka na waziri wa ardhi wa smz kwa hatua mliyochukua as kuonezewa kwa eneo hili litaiweka jamhuri ya muungano safe kutoka kwa maharamia.
View attachment 46032