Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
kwa hiyo mnataka Asia Europe na America bila kusahau Latin America watuchumbie? wakiona tumewategeshea kabisa wataleta posa soon!!
<br />mi nahamia west africa bana
<br />Kuna mdau kaichora hii ramani mpya ya Africa. Wataalamu wa mambo ya jiografia mnasemaje?<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34840&stc=1" attachmentid="34840" alt="" id="vbattach_34840" class="previewthumb size_fullsize" />
Hivi huyu dada anapatikana kiwanja gani usiku nina maagizo yake muhimu lol!Kuna mdau kaichora hii ramani mpya ya Africa. Wataalamu wa mambo ya jiografia mnasemaje?
View attachment 34840
<br />mi nahamia west africa bana
Hii inamanisha Wanaume wa afrika akili zetu zipo kwa ajili ya Wanawake na ngono hatuna kitu tunachofikiria sisi Waafrika zaidi ya Zinaa. MIAFRIKA BWANA NDIVYO ILIVYO AKILI ZETU NI NGONO TU.Hii inamaanisha nini?
naipenda....hahaa mkuu signature yako imenichekesa sanaHali ya hewa huko utaiweza?
... na rasilimali yake ni **** kuuubwa sio?Inaonyesha kuwa uzuri wa africa upo kwenye 'Rasilimali 'yake bana
Nimeipenda kwa sababu "Waafrika uchumi tunao".Kuna mdau kaichora hii ramani mpya ya Africa. Wataalamu wa mambo ya jiografia mnasemaje?
View attachment 34840