Asabaya
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 1,310
- 414
Habari za usiku ma bibi na mwabwana,
Napenda kuwapa mkono wa Ramadhani ndugu zatu waislam,sie tulioko arabuni inshallah tunaanza kesho,kufunga.
Nawatakia Ramadhani njema, inshallah Mwenyezi mungu akubali touba zetu,atujaalie kheir na baraka sie na wazee wetu na watoto. Atupe wepesi kwenye mambo yetuu ameen yaraab..
Napenda kuwapa mkono wa Ramadhani ndugu zatu waislam,sie tulioko arabuni inshallah tunaanza kesho,kufunga.
Nawatakia Ramadhani njema, inshallah Mwenyezi mungu akubali touba zetu,atujaalie kheir na baraka sie na wazee wetu na watoto. Atupe wepesi kwenye mambo yetuu ameen yaraab..