Naamini kuna wapenzi wengi sana wa mbio za magari. Mchezo huu si mgeni hapa nchini kwetu. Hapa tutakuwa tukijulishana mambo yanayojiri kwenye mchezo huu wa kipekee kabisa. Enjoy.
Leo kutakuwa na maonyesho ya magari ya mbio za magari pale Mlimani City, wote mnakaribishwa kuona wataalam wakiyachezea magari. Usikose onyesho hili la kipekee litakalo anza saa kumi na moja jioni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.