Rakesh wa KULEANA – HAKI ELIMU na sasa TWAWEZA ni KIVULI cha nani?

then wewe ndio enemy kwani you are on his case

Unajua maana ya project cycles?

wewe analyst, unaelewa role kubwa ya anachofanya na sources of funds??
Unajua tofauti kati ya mtu anayefanya project kwenye policy na anayefanya implementation level??

Mkuu wewe kweli unajua unachosema au ndio umetumwa kupima maji ya rajani??

just for faak sake.... unajua impact ya kueleana on number of OVC/MVC in this country??
Unajua haki elimu imeleta mabadiliko makubwa kwenye policy ya elimu especially on governance?

duh...

USHAURI WANGU... YAWEZEKANA UNAMJUA RAKESH KWA NAMNA FULANI LAKINI SO FAR HE HAS BEEN ONE FO THE MOST INFLUENCIAL PEOPLE IN A FEW EDUCATION/YOUTH POLICIES NA TUMSAIDIE KWA CONSTRUCTIVE CONSTRUCTION SIO KAMA ULIVYOIWEKA WEWE

Project Cycle haimaanishi you launch a new project zaidi ya kuphaseout project uliyokuwa nayo na kwenda phase two ukiwa na vision inayocompliment previous project.

Nikiwa enemy kwa kuhoji hili sioni shaka hata kidogo kwani kama alivyo yeye katika project ob policy based naye anakuwa checked na analyst kama G.R.

Unaporeview policy haimaanishi kuwa unaruhusiwa kubuni policy mpya zaidi ya kuonyesha accountability na alternative approaches iatakayowezesha public participation, laikini pia implementation ni sehemu ya mradi wowote nan kwa kiwango gani inategemea na funding.

Lakini pia huu mchezo wa kujidai kuaminika kuliko watanzania wengine na kuwa ati funder lazima akulipe wewe tu katika miradi yako ni dhana nyingine mbovu inayolitafuna taifa. Kwa hiyo akifa Rajani leo ufadhili huo nao umekoma.

Na suala hapa si kuendelea kutembeza Bakuli, lini tutajitosheleza na kuja na mikakati ianayosimamiwa na kuratibiwa na rasilimali za watanzania. huu ndio msingi wa Hoja katika maswali yangu ya msingi pale katika Hitimisho.
 
Nilichokimaanisha hapo Mkuu angeweza kutumia approach kama ile ya Plan International au Heifer Project ambao wao Heifer kama tatizo kwa mfugaji ni fedha za kununulia ng'ombe atakopeshwa kwa sharti ndama wa kwanza anakuwa wa mradi ili akopeshwe mKulima mwingine pia. Na plan wamekuwa wakifadhili palipo na upungufu wa madawati au vyoo kuliko kutoa fedha hizo mikononi mwa wataendaji walafi.

Maana fedha nazo zikitembea katika mikono mingi zinakuwa katika mazingira hatarishi ya kuchezewa zaidi

Hoja yako haina validity unless uje useme pesa kwenye NGOs za rajani zimekuwa zikifanyiwa ubadhirifu pamoja na ushahidi wa hilo.

Pili, licha ya kuwa huwezi kumlazimisha mtu atumie mbinu gani kuendesha NGO yake, lakini pia mbinu inayoweza kufanya kazi sehemu moja haina maana inaweza kufanya sehemu nyengine. Yeye anajenga awareness/policy, kutumia matangazo ni moja ya nyenzo muhimu kwake. Ikiwa wafadhili wanafurahi kumpa pesa kutumiwa kwenye mbinu hiyo anayotumia sasa sioni tatizo liko wapi hasa
 
Actually Ian Fleming, the creator of James Bond, said this before Chase.

Once is happenstance, two could be coincidence, thrice is definite design.

Lakini kama ulivyokosea ku attribute quote correctly, umeshindwa kutuonyesha uhusiano wa Rakesh na tuhuma za msingi mara tatu mfululizo.

Wengine tunaweza kusema Rakesh ni "lone warrior" asiyekubali kushindwa hata baada ya kuanguka mara kadhaa kwa sababu hana support structure, na watu kama nyie mliojaa critique, ingefaa zaidi kama mngesaidia au kutoa initiatives zenu wenyewe.

Hakuna anayekataa hilo, nimetoa challenge tutazame na upande wa pili wa Sarafu. Yupo kwa masilahi ya Jamii au ni kivuli caha Mr. NOBODY?
Thanks for correction kama nilimnukuu vibaya chase lakini mantini inabaki kuwa ile ile
 
Hoja yako haina validity unless uje useme pesa kwenye NGOs za rajani zimekuwa zikifanyiwa ubadhirifu pamoja na ushahidi wa hilo.

Pili, licha ya kuwa huwezi kumlazimisha mtu atumie mbinu gani kuendesha NGO yake, lakini pia mbinu inayoweza kufanya kazi sehemu moja haina maana inaweza kufanya sehemu nyengine. Yeye anajenga awareness/policy, kutumia matangazo ni moja ya nyenzo muhimu kwake. Ikiwa wafadhili wanafurahi kumpa pesa kutumiwa kwenye mbinu hiyo anayotumia sasa sioni tatizo liko wapi hasa

Sijamtuhumu Rajani kwa Ubadhilifu, nasononeshwa na madhara ya miradi anayoianzisha kwa watanzania. Usiniongezee maneno, Thread yangu inasomeka vema hapo juu
 
Hakuna anayekataa hilo, nimetoa challenge tutazame na upande wa pili wa Sarafu. Yupo kwa masilahi ya Jamii au ni kivuli caha Mr. NOBODY?
Thanks for correction kama nilimnukuu vibaya chase lakini mantini inabaki kuwa ile ile

Hujaja na challenge bali accusations. Unfounded accusations to be precise

This Tomaso is still waiting for the data
 
ULEVI NI NOMA au MBU MMOJA TU ANATOSHA KUAMBUKIZA MALARIA!!!, "TUMIA NET KILA ULALAPO",hayo ni baadhi ya matangazo ambayo wewe ujayaona na miradi ambayo ujaiyona na kukugusa kama kweli hayo uliyoandika yanakugusa, pia kumbuka kama MBU MMOJA anatosha kuambukiza malaria basi ya bidi kutumia hiyo net kila wakati giza linapoingia au kusema Chandarua hakitoshi kupunguza au kukinga malaria kwa kiasi cha kutosha, Kuhusu wazo lako matangazo hayo yangeweza kuchangia katika Elimu, nio mtazamo wako!! Mie nadhani ningekushauri ungesisitiza ufanye uchunguzi kuuhusu ulipaji wa Kodi kama unakusanywa vema, na je kodi inayokusanywa inafanya kazi inayokusudiwa? kuhusu kuchangia inategemea ni kwa kiasi gani wananchi wanakwepa kulipa kodi. ULEVI NI NOMA!! hivyo vinywaji ambavyo vinapigwa vita ndio ingizo kubwa na kodi iendayo serekalini, kama Watanzania wagegoma kunywa japo kwa siku mbili tu!! ungejua tangazo la ulevi ni noma lisingelipendwa kuanzia na Wakuu serekalini hadi kwa wenye mabaa ya mtaani. Kuchangia Elimu kwa njia nyingine ni wizi mtupu!!! Tuna sehemu nyingi zenye kuchimbwa madini, hivi ndivyo vyanzo vya kuchangia maendeleo ya sehemu husika ikipewa kipaombele Elimu kwanza kwa sehemu husika. Je ni sehemu gani katika tanzania inaongoza kwa rasilimali nyingi alafu rasilimali hiyo imetumika katika kuwapa hao wawekezaji na wakaendeleza sehemu husika!! Sijaona haki ya Wewe kumlaumu Rajani au kumtilia shaka kama hayo yote niliojaribu kuonyesha wewe ujayaona Ebu rudi nyuma then uje na jambo la msingi kama ulilojaribu kuabarisha hapa.

Naheshimu fikara zako ila haziondoi hofu yangu kwa Miradi anayoianzisha Rajani
 
Sijamtuhumu Rajani kwa Ubadhilifu, nasononeshwa na madhara ya miradi anayoianzisha kwa watanzania. Usiniongezee maneno, Thread yangu inasomeka vema hapo juu

Hivi GR unataka tusirejelee hizi posts unazotolea maelezo post yako ya juu au vipi? Manake maelezo yako ya ziada yako wazi

Nilichokimaanisha hapo Mkuu angeweza kutumia approach kama ile ya Plan International au Heifer Project ambao wao Heifer kama tatizo kwa mfugaji ni fedha za kununulia ng'ombe atakopeshwa kwa sharti ndama wa kwanza anakuwa wa mradi ili akopeshwe mKulima mwingine pia. Na plan wamekuwa wakifadhili palipo na upungufu wa madawati au vyoo kuliko kutoa fedha hizo mikononi mwa wataendaji walafi.

Maana fedha nazo zikitembea katika mikono mingi zinakuwa katika mazingira hatarishi ya kuchezewa zaidi

Na siku sema kuwa umemtaja kwa ubadhirifu, ila ikiwa wewe husemi kuwa yeye anahusika na ubadhirifu basi point yako is not valid kwa sababu haimhusu kwanini uizungumzie?
 
Hakuna anayekataa hilo, nimetoa challenge tutazame na upande wa pili wa Sarafu. Yupo kwa masilahi ya Jamii au ni kivuli caha Mr. NOBODY?
Thanks for correction kama nilimnukuu vibaya chase lakini mantini inabaki kuwa ile ile

A person is considered innocent until proven guilty. The onus of proof is on the accuser.Wewe unayetuambia kuna uwezekano wa Rakesh kuwa "ni kivuli cha Mr. Nobody" ( whatever that means) tudhihirishie hilo.
 
Kenya wamefanikiwa sana kwa kuchangia katika Elimu kutokana na Nguvu za WANANCHI, Nilidhani juhudi za Haki Elimu zingelenga kuwaelekeza watanzania kuhusika moja kwa moja katika kuchangia na kushiriki shuguli

Hilo sikuligundua Mkuu, nao ni uozo mwingine kwa watanzania kupigiana mapande hata kwa vilaza kuwa wahasibu licha ya kusoma sanaa na utamaduni
 
Neno DATA unalitafsirije?

Wewe kwani ulilitafsirije uliposema unazo data za kuonyesha

1. Mlingano wa watoto waliopata mimba kabla ya kuondolewa adhabu ya bakora na wale waliopata baada
2. Mlingano wa idadi ya watoto waliokuwa wakienda shule kabla na baada ya kuondolewa adhabu hiyo
3. Mlingano wa hali ya shule ambazo watoto walipata mimba kabla ya kuondoa adhabu ya bakora na baada ya kuiondoa

?
 
A person is considered innocent until proven guilty. The onus of proof is on the accuser.Wewe unayetuambia kuna uwezekano wa Rakesh kuwa "ni kivuli cha Mr. Nobody" ( whatever that means) tudhihirishie hilo.

Hayo ni maswali yangu na mwisho wa siku ushahidi wa hoja za watu wanayoijua miradi hii kwa kina itatupa muongozo. sitaaccuse wala kumhukumu Mtu hapa. Hayo unasema wewe Mkuu. Hatujdraw hitimisho
 
Hoja ina mashiko iwapo tu utatulia na kusoma between lines. Lakini kwa kuwa wengi wetu ni wavivu wa kusoma MAANDISHI mengi/marefu, tutatoka nje ya mada na kukonsetreti katika issue moja tu.

Mf. Umewahi ku-relate poor performance na kushuka kwa nidhamu mashuleni? Waulizeni walimu kuondolewa kwa viboko kumeafekti vipi maendeleo ya mwanafunzi kitaaluma.

Wengi wetu tupo hapa tumepitia hivyo viboko ndo maana tupo hapa tulipo. Leo hii mwanafunzi wa kidato cha pili wa mwaka 92 huwezi mlinganisha katika uwelewa wa kontent kama wa leo, ni kweli sisapoti kupiga kama unaua nyoka, lakini pìa sikubaliani na kuöndoa vboko mashuleni.
 
Tatizo lako ni kwamba, for a critical thinker and analyst like you claim to be, your critique is short on details kama alivyoonyesha Gaijin hapo juu.

Furthermore, you seem to politicize this issue in a manner that would not make it unfathomable to think that you are either from a rival NGO, bitter that Rakesh can present his case better to donors, or from the government, ired by the wrath of Rakesh's reports to the extent of waging some online warfare on him.

Unless you provide tangible details, you can easily be dismissed as a bitter hater or government apologist.

Ningekuwa mshabiki ningehisi kuwa huenda nawe ni beneficiary kwa namna unavyotetea kwa nguvu zote. Lakini kwa kuwa ni critical anlayst hili kwangu halina tija narudia tena maneno hayo I always count on events not people. Nasisitiza kuna jambo hapa tunapaswa kulitazama kwa namna nyingine
 
Usipatwe Jazba urgue kama MTM, mwisho wa siku hakuna anayeweza kumshitaki Rukesh wala kufaidika kwa Rukesh kuwepo hapo alipo. Tunaliangalia hapa ni nafasi yetu walengwa wa Miradi na madahara ya miradi kama hii. Hatimaye tutadraw suluhisho la pamoja. Matusi bado kwangu hayanaga nafasi napenda Hoja zaidi ili tupanuane mawazo.

Haimaanishi nilichikipost ni alpha na Omega tunasaka kulitazama hili kwa jicho la Tatu

Tukiondoa la mwazilsihi wa Kuleana nakubalina na wewe specificaaly kwa hii project ya Kuleana sabau naifahamu. Approach waliyotumia haikuwa nzuri mwanzoni sijui sasa hivi.

Ile aproach ya mwanzo objective kubwa ilikuwa kukitangaza kituo( KULEANA ) badala ya kuadress problem na solution zake.

Social system ya taifa letu imefumbiwa macho na watu wanakula mshahara tu. Sijui hawa watu wanaitwa maafisa ustawi wa jamii mikoani wilayani na wizarani kazi zao ni nini?

Nimewai kumuuliza mtu anayelipwa mshahara kama afisa ustawi wa jamii kuwa mkoa XXX una homeless ppl wangapi hajui. Kuna omba omba wangapi hajui? Yule maa anardana randa na watoto anaitwa nani hawajui wala hawna any system.

Sasa ukiona Afisa ustawi wa jamii toka asubuhi mpaka sa 10 yeye yuk ofisini tu badala ya kuwa mtaani japo kuzungumza na watu ujue sisi ni watu wa siasa.

Kuna gap na loophole hakuna sera ya ustawi wa jamii. Na wewe ukiazisha NGO ya kulea wazee utajikuta wewe ndo unatengeneza rules of the games. Sasa unaweza kutumia loophole kwa manufaa ya jamii au unaweza kutumia lophole kwa manufaa ya NGO.
 
Hoja ina mashiko iwapo tu utatulia na kusoma between lines. Lakini kwa kuwa wengi wetu ni wavivu wa kusoma MAANDISHI mengi/marefu, tutatoka nje ya mada na kukonsetreti katika issue moja tu.

Mf. Umewahi ku-relate poor performance na kushuka kwa nidhamu mashuleni? Waulizeni walimu kuondolewa kwa viboko kumeafekti vipi maendeleo ya mwanafunzi kitaaluma.

Wengi wetu tupo hapa tumepitia hivyo viboko ndo maana tupo hapa tulipo. Leo hii mwanafunzi wa kidato cha pili wa mwaka 92 huwezi mlinganisha katika uwelewa wa kontent kama wa leo, ni kweli sisapoti kupiga kama unaua nyoka, lakini pìa sikubaliani na kuöndoa vboko mashuleni.

Gaijin soma hapa tafadhali.

Tatizo kubwa ni husky reading kwa watanzania. Imeua mpaka ubora wa elimu vyuo vikuu, watu wanajaa maktaba siku za assignment na wakati wa mitahani tu
 
Mtoa mada,,,,,,,Haki Elim wamewahamasisha saaana wananch kushiriki katika mirad ya shule,sidhan kama imewafanya wawe watu wa kusubir kulishwa kwa ncha ya kijiko kama alivosema mtoa mada,,,,,,,,na yale waliyoyaonesha kwenye matangazo yao yapo......pamoja na hayo SHULE ZA KATA MBONA WAMEJENGA WANANCH??????HAKI ELIMU WAMEJITAHIDI JAMANI
 
Tukiondoa la mwazilsihi wa Kuleana nakubalina na wewe specificaaly kwa hii project ya Kuleana sabau naifahamu. Approach waliyotumia haikuwa nzuri mwanzoni sijui sasa hivi.

Ile aproach ya mwanzo objective kubwa ilikuwa kukitangaza kituo( KULEANA ) badala ya kuadress problem na solution zake.

Social system ya taifa letu imefumbiwa macho na watu wanakula mshahara tu. Sijui hawa watu wanaitwa maafisa ustawi wa jamii mikoni wilani na wizarani kazi zao ni nini?

Nimewai kumuuliza mtu anayelipwa mshahara kama afisa ustawi wa jamii kuwa mkoa XXX una homeless ppl wangapi hajui. Kuna omba omba wangapi hajui? Yule maa anardana randa na watoto anaitwa nani hawajui wala hawna any system.

Sasa ukiona Afisa ustawi wa jamii toka asubuhi mpaka sa 10 yeye yuk ofisini tu badala ya kuwa mtaani japo kuzungumza na watu ujue sisi ni watu wa siasa.

Kuna tatizo dogo lipo upande wa pili wa sarafu na hii nathubutu kulilinganisha na namna ambavyo tumekuwa tukitumiwa vibaya na wajanja wachache kwa kudai ati wanasaidia maboresho ya sera na maendeleo Nchini.

Kumbuka zilitoka fedha ujerumani kusaidia kuzuia hoja ya mfuko wa Jimbo isipite. walikuwa na masilahi gani mpaka leo mimi na wewe hatujui.
 
Mtoa mada,,,,,,,Haki Elim wamewahamasisha saaana wananch kushiriki katika mirad ya shule,sidhan kama imewafanya wawe watu wa kusubir kulishwa kwa ncha ya kijiko kama alivosema mtoa mada,,,,,,,,na yale waliyoyaonesha kwenye matangazo yao yapo......pamoja na hayo SHULE ZA KATA MBONA WAMEJENGA WANANCH??????HAKI ELIMU WAMEJITAHIDI JAMANI

Slogan ya Haki elimu ilikuwa Tafakari chukua hatua
 
Back
Top Bottom