LATEST INPUT 08 April 2013
Sasa Serikali inajadili kurudisha Adhabu za Viboko Mashuleni: Taratibu yaliyofichika tutayaona na Uzi huu utakamilika
ADIOS
Mkuu. ahasante sana kwa utafiti wako. humu jf mpo wachache sana ambao mnaandika kwa lengo la kulisaidia taifa. wengi hujadili udaku na siasa badala ya kuwasaidia wananchi kuepukana na matatizo yanayowakabili. wakati unapost uzi huu 2011, wengi walikubeza na wengine walidiriki kukuita ni mbaguzi. hayo yalikuwa ni mawazo yao lakini wewe ulitimiza wajibu wako kama mzalendo na matokeo yako sasa tunayaona