Rais wangu Magu, Kariakoo sasa tutaikimbia

kinje ketile

JF-Expert Member
Dec 12, 2015
4,251
8,254
Sina haja ya kusema mengi, jionee mwenyewe sasa tunauza maringi tu, maringi tu!Hizi fremu tutalipaje pango!Mpaka mtu abadilishe ringi ya gari lake lini?

Tuhurumie wenzako
 

Attachments

  • 20160212_160932[1].jpg
    20160212_160932[1].jpg
    236.5 KB · Views: 79
  • 20160212_160925[1].jpg
    20160212_160925[1].jpg
    223.9 KB · Views: 33
Sina haja ya kusema mengi,jionee mwenyewe sasa tunauza Maringi tu,Maringi tu!!!hizi fremu tutalipaje pango!mpaka mtu abadilishe ringi ya gari lake lini..?tuhurumie wenzako
Mliipenda wenyewe chaguo lenu wenyewe ,acha waisome namba eeeh chichiem mbele kwa mbele
 
Badilisha biashara..vinginevyo jiji litakushinda.
20160212_160932-1-jpg.322932
Hilo nalo neno Lkn japo tungepewa muda tujiandae kisaikolojia na kimtaji!!Lakini ghafla bin vuu 'kuanzia leo sitaki kuona tairi used zikiuzwa',Aah hapo ndo msongo wa mawazo unapoanzia.Kwani ajali zote ni matairi kupasuka?
 
Ni moja ya mikakati ya kupunguza ajali za kubust kwa matairi njiani, ni jamno zuri mana niwaona tbs mwenyewe wakisema madhara ya tyre hizo, mwanzoni kabisa January nikajua wanacheza, kumbe jamaa ni very serious aisee.
 
Stress ni pale unapolazimika kuuza hizo ringi.Kama we una gari,ushawahi kutafuta ringi!!?Kama wapo basi wachache!Mmn Wenzenu haya yametufika tunajiona kabisa K'ko itabidi kujiondoa.suala la ajali mostly UZEMBE,
 
Duh chuma langu limeisha tairi ina maana inabidi nitungue mpya uwiiii nilizoea mteremko na sijawahi kununua tairi mpya aseeeee
 
Mbona Tairi mpya walizozisibitisha hao TBS zinabast sana na hawatupi mrejesho ni aina ipi zimebast kwa mwaka ili kujua ipi Nzuri na ipi mbovu...
 
Mi nathani sio tairi peke yake nishawai kukanyaga jiwe rimu ikavunjika nikauliza nikaambiwa eti rimu ilikuwa yakichina speed yenyewe nilikuwa 60 hii ni hatari sana
 
Mbona tairi unazo mkuu au mm ndo sioni vizuri uza hata mpya maadam used hazitakuwepo sokoni watu watanunua tu
 
Back
Top Bottom