Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
Kwa hakika tangazo lile lingekuwa na mashiko iwapo yeye presida angeonekana katika mazingira ya utayari wa kwenda kulala,
Iwapo angeonekana amevalia pyjama au kanga ingekuwa nzuri zaidi, sasa wanapomuona sebuleni kwenye kochi amevaa suti inakuwa kama anafanya utani tu.
Iwapo angeonekana amevalia pyjama au kanga ingekuwa nzuri zaidi, sasa wanapomuona sebuleni kwenye kochi amevaa suti inakuwa kama anafanya utani tu.