dengeru
Member
- Oct 1, 2009
- 52
- 7
huyu ni raisi wa tanzania kikwete ambae anamadaraka makubwa kulio raisi yoyote duniani,hii ni kwamba kama raisi atakuwa mjinga basi wote tutakuwa wajinga maana atachagua wajinga kama tunavyojionea kwenye serikali yetu.ili uchaguliwe haitegemei competency yako inategema unaiva vipi na raisi,kama unavyoona kwa baadhi ya mawaziri kama akina hawa ghasia,sofia simba,
1.anateua waziri mkuu
2.anateua mawaziri
3.anateua jaji mkuu na majaji
4.anateua makatibu wakuu
5.anateua mkuu wa takukuru
6.anateua wakuu wa mikoa
7.anateua makamishna wa wizara,tume...
8.anateua mkuu wa majeshi
9.anateua mkuu wa polisi
10.anateua mwanasheria mkuu
na weingine nimesahau,nchi za wenzetu wenye demokrasia ya kweli hizo nafasi lazima ugombee na competency yako ndo inayokupa cheo...
1.anateua waziri mkuu
2.anateua mawaziri
3.anateua jaji mkuu na majaji
4.anateua makatibu wakuu
5.anateua mkuu wa takukuru
6.anateua wakuu wa mikoa
7.anateua makamishna wa wizara,tume...
8.anateua mkuu wa majeshi
9.anateua mkuu wa polisi
10.anateua mwanasheria mkuu
na weingine nimesahau,nchi za wenzetu wenye demokrasia ya kweli hizo nafasi lazima ugombee na competency yako ndo inayokupa cheo...