KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Strauus-khan ndiye aliyekuwa na sidhani kama amefuta uamuzi wa yeye kuwa miongoni mwa wagombe kiti cha uraisi wa ufaransa.japo nafasi ya ukuu katika kuongoza bank ya imf alijiuzulu kutokana na kashfa ya ngono.hapa anaonekana akiwa na chambo kilimbadilishia mambo mengi kwa dakika ishirini tu.