Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
Upo usemi wa kizuri kula na ndugu yako
lakini ukipitiliza mazara yake ni makubwa sana na hiki ndicho kilichomtokea Rais wao kikwete
Pengine alikuwa na nia nzuri ya kuwatunza ndugu na marafiki waliosoma nao lakini pengine kwa kujua ama kutojua alijua baada ya muda fulan atutakuwa tena na makampuni haya ndio maana akaamua kufanya haya yanayoendelea kwenye makampuni haya
Ni aibu shirika kubwa kama ATCL, TRL kukosa ndege ama treni za kusafirishia abiria..pengine ningetamani siku moja kuona labda uwanja wa ndege ukiahamia Bagamoyo tutakuwa na msururu wa ndege kadhaa na treni kupitia huko kuelekea mikoa mingine yaweza saidia kuwepo kwa mashirika haya
Ni wakati sasa umefika Raisi kikweete Kuachwa kudanganywa na mikataba ya kipumbavu issiyo na tija kila siku aiwezekani rwais wewe wewe kwenye cheki unadanganywa mikataba ya madini unadanganywa mikataba ya umeme unadanganywa ya ndege wewe ya treni unadanganywa wewewe Nani jamani ???Sasa kuna muhimu gani wa kuwa na rais kishoka kama huyu
Nimefika wakati nasikitika kuona mashirika yenye umuhimu ndio yanayowekewa mikakati ya kuangamizwa hivi hata mkiweka viwanja vya ndege bagamoyo unafikiri wangapi watapanda ndege ya MWENGE BAGAMOYO..??POSTA BAGAMOYO??Embu rais wetu fikiria hilo jamani na umeingia umeambiwa kabisa TRL ILIKUFA KWA SABABU ABCD
UNAMUWEKWA MJOMBA WAKO SUKURU KAWAMBWA ANATUSAINIA MIKATABA YA KISHENZI KISA 10 PERCENT UNATOKA HAPO UNAWACHAGULIA ATCL MTU ASIEJUA HATA BEI YA DAR MWANZA .DAR KIGOMA NI SH NGAPI MAISHA YAKE YOTE ANAKUTANA NA TKTK KWENYE MEZA NA HATA AIFUNGUI ANAFIKA AIRPORT NA KUONYESHA WAHUSIKA BILA HATA KUJUA KUNA JINA GANI NDANI..., ANAENDA KUINGIZWA MKENGE NA WAPUMBAVU WACHACHE KWA KUTUMIA KUTOKUWA NA UZOEFU WA NDEGE NA MWISHO SHIRIKA ZURI KUBWA KAMA HILI KUISHIA ICU
PENGINE SI MIMI BINAFSI NINGEPENDA KUONA ATCL IKIWA TAABANI LA HASHA ATCL INAITAJI MSAADA WA KIDIPLOMASIA KABISA...KIBAYA TWAWEZA MWANGUSHIA MZIGO WOTE CEO ALIEPITA LAKINI MH HUYU AMETUMIWA NA WENGI SANA KUJINUFAISHA KUPITIA KUTOKUWA NA UZOEFU WA MAMBO YA ANGA NA HAO HAO NAAMINI WAMEBAKI NA WANAENDELEA NA SHIRIKA NAFIKIRI IFIKE SASA SERIKALI ISEME IMETOSHA
HATA KAMA KUANZISHWA SHIRIKA UPYA KWA WATU WACHACHE BILA KUANGALIA HIKI NDICHO KITACHOWEZA KUITOA SHIMONI ATCL...WAKATI FULANI INABIDI COST ZIINGIE KUWEKA MASHIRIKA HAYA YAKAE INAVYOTAKIWA..IFIKE WAKATI AJIRA ZA KISHENZI ZA KUPEANA AMA KUVUANA NGUO ZIFE KABISA NA ELIMU NA UZOEFU UWE KIPAUMBELE
WAKATI UMEFIKA SASAS WATU KUWA NA UCHUNGU NA NCHI YENU HATA VIJANA MLIOSEHEMU NYINGINE KULA LAKININ UKUMBUKE KUBAKISHA NA YA KESHO MSIMALIZE KAMA WENZENU WA ATCL NA TRL
MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI ATCTRL
lakini ukipitiliza mazara yake ni makubwa sana na hiki ndicho kilichomtokea Rais wao kikwete
Pengine alikuwa na nia nzuri ya kuwatunza ndugu na marafiki waliosoma nao lakini pengine kwa kujua ama kutojua alijua baada ya muda fulan atutakuwa tena na makampuni haya ndio maana akaamua kufanya haya yanayoendelea kwenye makampuni haya
Ni aibu shirika kubwa kama ATCL, TRL kukosa ndege ama treni za kusafirishia abiria..pengine ningetamani siku moja kuona labda uwanja wa ndege ukiahamia Bagamoyo tutakuwa na msururu wa ndege kadhaa na treni kupitia huko kuelekea mikoa mingine yaweza saidia kuwepo kwa mashirika haya
Ni wakati sasa umefika Raisi kikweete Kuachwa kudanganywa na mikataba ya kipumbavu issiyo na tija kila siku aiwezekani rwais wewe wewe kwenye cheki unadanganywa mikataba ya madini unadanganywa mikataba ya umeme unadanganywa ya ndege wewe ya treni unadanganywa wewewe Nani jamani ???Sasa kuna muhimu gani wa kuwa na rais kishoka kama huyu
Nimefika wakati nasikitika kuona mashirika yenye umuhimu ndio yanayowekewa mikakati ya kuangamizwa hivi hata mkiweka viwanja vya ndege bagamoyo unafikiri wangapi watapanda ndege ya MWENGE BAGAMOYO..??POSTA BAGAMOYO??Embu rais wetu fikiria hilo jamani na umeingia umeambiwa kabisa TRL ILIKUFA KWA SABABU ABCD
UNAMUWEKWA MJOMBA WAKO SUKURU KAWAMBWA ANATUSAINIA MIKATABA YA KISHENZI KISA 10 PERCENT UNATOKA HAPO UNAWACHAGULIA ATCL MTU ASIEJUA HATA BEI YA DAR MWANZA .DAR KIGOMA NI SH NGAPI MAISHA YAKE YOTE ANAKUTANA NA TKTK KWENYE MEZA NA HATA AIFUNGUI ANAFIKA AIRPORT NA KUONYESHA WAHUSIKA BILA HATA KUJUA KUNA JINA GANI NDANI..., ANAENDA KUINGIZWA MKENGE NA WAPUMBAVU WACHACHE KWA KUTUMIA KUTOKUWA NA UZOEFU WA NDEGE NA MWISHO SHIRIKA ZURI KUBWA KAMA HILI KUISHIA ICU
PENGINE SI MIMI BINAFSI NINGEPENDA KUONA ATCL IKIWA TAABANI LA HASHA ATCL INAITAJI MSAADA WA KIDIPLOMASIA KABISA...KIBAYA TWAWEZA MWANGUSHIA MZIGO WOTE CEO ALIEPITA LAKINI MH HUYU AMETUMIWA NA WENGI SANA KUJINUFAISHA KUPITIA KUTOKUWA NA UZOEFU WA MAMBO YA ANGA NA HAO HAO NAAMINI WAMEBAKI NA WANAENDELEA NA SHIRIKA NAFIKIRI IFIKE SASA SERIKALI ISEME IMETOSHA
HATA KAMA KUANZISHWA SHIRIKA UPYA KWA WATU WACHACHE BILA KUANGALIA HIKI NDICHO KITACHOWEZA KUITOA SHIMONI ATCL...WAKATI FULANI INABIDI COST ZIINGIE KUWEKA MASHIRIKA HAYA YAKAE INAVYOTAKIWA..IFIKE WAKATI AJIRA ZA KISHENZI ZA KUPEANA AMA KUVUANA NGUO ZIFE KABISA NA ELIMU NA UZOEFU UWE KIPAUMBELE
WAKATI UMEFIKA SASAS WATU KUWA NA UCHUNGU NA NCHI YENU HATA VIJANA MLIOSEHEMU NYINGINE KULA LAKININ UKUMBUKE KUBAKISHA NA YA KESHO MSIMALIZE KAMA WENZENU WA ATCL NA TRL
MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI ATCTRL