Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
WANA JF,
Nimefungulia BBC nikakuta JK akihojiwa kuhusu hali ya Umeme nchini. Nilichobahatika kumsikia ni kuwa haiwezekani kutatua tatizo la mgao ndani ya mwezi..tatizo kubwa ni upungufu wa maji , yaani ukame. Amesema serikali imetoa Oda kwa mitambo mipya inayokuja mwezi wa 12.! Kuhusu altenative energy kama umeme jua etc, kuongea kwake kulikuwa kama kubeza. Je kuna ya ziada wadau mmeyasikia tofauti na haya??. Maana nimekuta ndiyo anaishia.
Wasalaam
Nimefungulia BBC nikakuta JK akihojiwa kuhusu hali ya Umeme nchini. Nilichobahatika kumsikia ni kuwa haiwezekani kutatua tatizo la mgao ndani ya mwezi..tatizo kubwa ni upungufu wa maji , yaani ukame. Amesema serikali imetoa Oda kwa mitambo mipya inayokuja mwezi wa 12.! Kuhusu altenative energy kama umeme jua etc, kuongea kwake kulikuwa kama kubeza. Je kuna ya ziada wadau mmeyasikia tofauti na haya??. Maana nimekuta ndiyo anaishia.
Wasalaam