Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Jana nilishtuka kidogo kusikia Raisi wangu jk akiwa na watanzania walioko
marekani ati amejitahidi asilimia 96 kupeleka watoto kwenda shule hata wale
waliokuwa awana uwezo wa kwenda shule ...huu ni utapeli mkubwa sikuwahi
kufikiri raisi anaweza waona watanzania wa USA mafamba kiasi hiki na baaya zaidi wengine waikapa mpaka marende ruwa oko mndumi
kama amjui zaidi watanzania mkiwa mjii ngumu kujua nendeni vijijini na wala si mbali
Kule anapotoka raisi kikwete utalia..si tunakimbizana nao kwenye NGO ni shameful uwezi amini Raisi amezaliwa sehemu kama hii akiwa marekani anawaona watanzania wa uko bogasi kiasi hiko mpaka wanapiga miguu wengine kwa furaha..jamani ukija tu hapa dar kamaana mheshimu MUNGU atangaze watanzania walioshindwa kuendelea shule kwa asababu yuwezo wajitokeze utoshangaa kuona na ndugu zake wakiwepo...tupo na mjomba wake mmoja anasema amewashau kabisa hata kwenye elimu..anyway mambo ya familia sasa ni uhuni kwa rais mzima kudanganya watanzania sijui anaamin awarudi tena ama???mjulisheni sio wote walioshindwa kurudi tanzania wengine kila sikukuu mko hapa mpaka NYERERE DAY kumkumbuka Raisi wenu..sasa anavyowadanganya mshtuke msikimbilie makofi mara kwa mara hana uwezo wa kuwarudisha huyo ata mkipimnga MUNGU akisema we na tanzania basi basi hutorudi tena...mpeni maswali awe anachangamsha kichwa akijua anaongea na wasomi...walikwenda kwa akili zao si kwa NGO kama walivyowamwaga ndugu zao huko....
marekani ati amejitahidi asilimia 96 kupeleka watoto kwenda shule hata wale
waliokuwa awana uwezo wa kwenda shule ...huu ni utapeli mkubwa sikuwahi
kufikiri raisi anaweza waona watanzania wa USA mafamba kiasi hiki na baaya zaidi wengine waikapa mpaka marende ruwa oko mndumi
kama amjui zaidi watanzania mkiwa mjii ngumu kujua nendeni vijijini na wala si mbali
Kule anapotoka raisi kikwete utalia..si tunakimbizana nao kwenye NGO ni shameful uwezi amini Raisi amezaliwa sehemu kama hii akiwa marekani anawaona watanzania wa uko bogasi kiasi hiko mpaka wanapiga miguu wengine kwa furaha..jamani ukija tu hapa dar kamaana mheshimu MUNGU atangaze watanzania walioshindwa kuendelea shule kwa asababu yuwezo wajitokeze utoshangaa kuona na ndugu zake wakiwepo...tupo na mjomba wake mmoja anasema amewashau kabisa hata kwenye elimu..anyway mambo ya familia sasa ni uhuni kwa rais mzima kudanganya watanzania sijui anaamin awarudi tena ama???mjulisheni sio wote walioshindwa kurudi tanzania wengine kila sikukuu mko hapa mpaka NYERERE DAY kumkumbuka Raisi wenu..sasa anavyowadanganya mshtuke msikimbilie makofi mara kwa mara hana uwezo wa kuwarudisha huyo ata mkipimnga MUNGU akisema we na tanzania basi basi hutorudi tena...mpeni maswali awe anachangamsha kichwa akijua anaongea na wasomi...walikwenda kwa akili zao si kwa NGO kama walivyowamwaga ndugu zao huko....