Raisi gan anaeongoza kwa kitambi afrika ;

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,138
Yaani hilo tambi nimeamini kwa nini alikuwa anangangania madaraka jamani loh fashist huyu
 

Attachments

  • LAURENT.jpg
    LAURENT.jpg
    28.7 KB · Views: 161
Yaani hilo tambi nimeamini kwa nini alikuwa anangangania madaraka jamani loh fashist huyu

Alikuwa anajifanya jeuri kumbe ni ndunya tu, aliambiwa aachie madaraka kwa heshma yeye akajifanya king'ang'anizi ona sasa mtu mzima anavyoadhirika na bila shaka alichezea kichapo! na isije ikawa walimfanyia na mambo ya 'al kadhalika'
 
Alikuwa anajifanya jeuri kumbe ni ndunya tu, aliambiwa aachie madaraka kwa heshma yeye akajifanya king'ang'anizi ona sasa mtu mzima anavyoadhirika na bila shaka alichezea kichapo! na isije ikawa walimfanyia na mambo ya 'al kadhalika'

yap abidjan kuna baadhi ya askari wamekamatwa baada ya kuafnya huu mchezo mchafu wa kimombasa
 
Alikuwa anajifanya jeuri kumbe ni ndunya tu, aliambiwa aachie madaraka kwa heshma yeye akajifanya king'ang'anizi ona sasa mtu mzima anavyoadhirika na bila shaka alichezea kichapo! na isije ikawa walimfanyia na mambo ya 'al kadhalika'

..Mkuu, sijui kwa nini na mimi nimeingiwa na wasiwasi huo! Kama sio yeye basi angalau kwa First lady. Amejitakia. Usipojiheshimu, Usitegemee watu wakuheshimu na hasa watu ambao wamefiwa na ndugu zao kwa kutokujiheshimu kwako...!

 
kweli sauti ya wengi wape,ameshakaa miaka kumi haridhiki tu bora angeachia kwa amani angeheshima licha ya kuahirisha uchaguzi tangu 2005 ili aendelee kubaki madarakani,,kwa FRANCE 24 wamemuonyesha alivokamatwa akiwa na mkewe as if kafumaniwa na mke wa mtu..TUNAMTAKA THE HAGUE HARAKA SANA KAUWA WENGI SANA.
 
yap abidjan kuna baadhi ya askari wamekamatwa baada ya kuafnya huu mchezo mchafu wa kimombasa

Huna kingine cha maana unachokifikiria kichwani chako zaidi ya mchezo mchafu wa kimombasa. Wewe ni JF Premium member tupe point za maana bwana, sio mambo yako ya ajabu unayotuandikia.
 
Back
Top Bottom