mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Wadau nataka kufahamu hii imekaaje jana PM. Mizengo Pinda anatangazia umma kuwa ameshindwa kuwasiliana na Rais kwa sababu yuko angani hapa inatia shaka inakuwaje Rais anaporuka kwenye Gulfstream 55 anakuwa hana hot line ya kuzungumza na wateule wake aliowaachia kuongoza nchi? Nijuavyo mtu kama Abrahamivic wa Chelsea anapatikana kwa wapambe wake muda wote anapokuwa angani naye anatumia Gulfstream 55 kama ya JK sasa hapa kuna mgogoro. Tujadili usalama wa nchi kuwa haina mawasiliano na Rais anapokuwa angani. karibuni