Kukitokea msiba atakuja. Ombeni Mtu afe huko wa kueleweka
akifa dr Nkya ataenda,,,,maana anawakilisha wa matombo,na akifa kombani AU YULE ALOKUA WAZIRI WA AFYA ataenda maana yupo ULANGA
Kukitokea msiba atakuja. Ombeni Mtu afe huko wa kueleweka
Billion 5.2 kutumika mpaka atakaporudi kwa kuzitembelea USA na CANADA tu.
Raisi wangu mpendwa,wakati unazunguka kutafuta kura yangu/zetu katika kampeni za uraisi ulijipambanua kwa kutoa ahadi kedekede kwa kutuhakikishia maisha bora kwa kila mtanzania.
Katika sera zako sikuona sehemu uliyokua unaomba upewe nafasi ili uwe mtembezi wala ombaomba.
Safari za kiongozi wangu za kwenda nje zimekua nying kuliko za kuja huku matombo,ulanga, nanguruwe na kwingineko hapa nchini.
Vijana wamekosa matumaini kiasi kwamba imebaki liwalo na liwe,imefikia point watu sasa wanatafuta sababu ya kufa kwa mfano hebu tazama watu hawaogopi tena polisi na silaha zao tena,nachelea kusema tuendako ni pagumu sana my president please safeguard the situation.
Kuna kazi nyingine ambazo mabalozi wanaweza kuzifanya sio mpaka kila mwaliko lazma uende wewe.
Nakutakia safari njema huku marekani na canada.
Siyo laana mkuu. Hajui afanye nini hapa nyumbani. Kuna siku alisema akiwa London, na ninamnukuu....."Wanasema ninasafiri safiri sana. Kah! sasa wanataka nikae nao tu, tule nao mihogo?" ....Mwisho wa kumnukuu
Siyo laana mkuu. Hajui afanye nini hapa nyumbani. Kuna siku alisema akiwa London, na ninamnukuu....."Wanasema ninasafiri safiri sana. Kah! sasa wanataka nikae nao tu, tule nao mihogo?" ....Mwisho wa kumnukuu
john mtembezi anakula bata ndani ya USA,AMEKALIA STULI YA DHAABU NA BADO ANAOMBAOMBA hii ni hatari.
Kukitokea msiba atakuja. Ombeni Mtu afe huko wa kueleweka