BBJ
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 1,181
- 160
Nafurahi kama ujumbe umekufikia barabara.Unasema vijana wa sasa ni wavivu na hawataki kufanya kazi,umewapa kazi wakakataa kufanya?Unatambua kua tatizo kubwa kwa sasa Tz ni ajira,halafu wewe unasema hawataki kufanya kazi,WHAT NONE SENSE!Kama unaona ni mkwala Mbuzi jitokeze hadharani na uongee hizo PUMBA zako uone kitakachojiri kwako.Wewe kijana unaweza kunipiga mkwala mbuzi mimi? Tatizo nyie vijana wa kizazi cha sasa ni wavivu mno.
Hivi unataka ushinde vijiweni na kwenye vilabu vya mbege bila kufanya kazi halafu unalalamikia serikali ikupe pesa!
Hata kodi ya nyumba unataka serikali ukulipie? Hiyo itakuwa serikali au upo peponi? Kama upo tayari njoo nikupe ajira..
Kila mwezi takupa 400,000 kama upo tayari ni-PM