Rais wangu Kikwete, siwezi kununua hata dagaa sasa!

Kaza buti Kikwete mambo haya yatatufanya tuelewe ili 2015 tuwe makini zaidi ikiwezekana pandisha posho za kina Ngeleja zifike mil.8 kwa siku badala ya zile 4. Posho za wabunge nazo zimefika hapo 200,000 hizi haziwatoshi ziongezwe hadi 500,000
 
Subirini njaa itakapoingia. Sasa kila kitu kipo na hali ndio hiyo.

Njaa tulikuwa nayo wakati wa Nyerere. Tunapanga foleni ya unga wa msaada (wa njano) kwa kaya kwa wiki kilo moja. Dagaa ilikuwa anasa.

Leo mwenye njaa ni ama mvivu kupita kiasi au hana akili timamu. Au ni katika wale wanaongojea kupewa na wanashindwa hata kujituma. Leo tunaona mpaka wageni kutoka Ulaya, Asia na nchi zingine za Kiafrika wakikimbilia hapa kuja kuchuma, fursa wanaziona zimejaa kedekede, halafu mtu analalamika tuna njaa. Mie nasema hamna macho lakini si njaa.
 
acha ujinga wewe uza mwili'unamlalamikia kikwete akuletee hela nyumbani''komaa upate elfu22 nyingii hili ununue kilo nyingi za dagaa'hii ndio africa bana nyie vpi'komaaa wewe.'kila cku kikwete kikweteee fanya kazi rais haezi kuwa na roho mbaya kiasi hiki'timu yake ndio inamfanyia hujuma'pumbavu nyie CHADEMA.
 
Dagaa huwezi kununua lakini fedha ya kuingia mtandaoni unayo, au unaiba mtandao wa ofisini?
dah!!! wakati mwingine kweli tupu.pengine yafaa tuishi kufutana na nyakati maana sasa sio kama ya zamani.
 
Nadhani hao ni wale dagaa wa Ziwa Victoria na may be dagaa wa Baharini... Kimbembe ni kwa sisi tuliozoea dagaa wa KIGOMA-ziwa tanganyika hapo ndio balaa maana kwasasa bei ni 22,000 kwa Kilo. Maisha bora kwa kila mtaanzania.

:A S embarassed:
Wapi hapo nikanunue mie juz nimenunua 30000 hao dagaa kwa kilo.mweeh
 
Njaa tulikuwa nayo wakati wa Nyerere. Tunapanga foleni ya unga wa msaada (wa njano) kwa kaya kwa wiki kilo moja. Dagaa ilikuwa anasa.

Leo mwenye njaa ni ama mvivu kupita kiasi au hana akili timamu. Au ni katika wale wanaongojea kupewa na wanashindwa hata kujituma. Leo tunaona mpaka wageni kutoka Ulaya, Asia na nchi zingine za Kiafrika wakikimbilia hapa kuja kuchuma, fursa wanaziona zimejaa kedekede, halafu mtu analalamika tuna njaa. Mie nasema hamna macho lakini si njaa.
miakaya 83 kunawadudu fulani hivi walitokea nakuanza kushambulia mimea mashambani walikuwa wengi balaa!!! tulikuwa tunawafahamu kwa jina la mbilizi. yaani usiombe wajaa mashambani hata kutembea tulikuwa tuna tembea kwa timing kukwepa kuwa kanyaga.mwaka uliofuata njaa njaa yake ilibidi serikali ilete chakula mfano wa ngano kilikuwa sijui kinaitwa buluga na mafuta ya usa.nilishuhudia baadhi ya watu wanashindia kula mboga mboga za polini.
tuombe mungu njaa kali kama hizo za mwaka 74 na 84 zisijirudie.
 
acha ujinga wewe uza mwili'unamlalamikia kikwete akuletee hela nyumbani''komaa upate elfu22 nyingii hili ununue kilo nyingi za dagaa'hii ndio africa bana nyie vpi'komaaa wewe.'kila cku kikwete kikweteee fanya kazi rais haezi kuwa na roho mbaya kiasi hiki'timu yake ndio inamfanyia hujuma'pumbavu nyie CHADEMA.
kwanini asijinyonge kwa kamba kuliko kufedheka na hilo gonjwa la ukimwi.
 
jamaa hana haja ya kufikiria inflation...anasubiri mikutano ya kimataifa akahudhurie...teh..teh...na bado kile kichwa ni nazi shauri yenu
 
Kikwete kaza buti watu wapasuke wajue kilichowatuma kukupigia kura, ingawa kura nyingine uliiba kweli inawezekana na yangu uliiba make sikukupa kura mie. kazi ipo
 
Njaa tulikuwa nayo wakati wa Nyerere.
Wakati anaondoka madarakani $1 ilikuwa sawa na 17/- . Njaa ilitokana na Oil embargo, ukame katika EA pamoja na hila za wamagharibi kuzuia ujamaa. Hata hivyo tulikuwa na Gold reserve yetu (benki na ardhini) na vijana walisoma bure.
 
hii picha ndio hali halisi ya mtanzania huyu mtoto amekata tamaa na maisha. kweli inatia uchungu sana sasa hivi dar sukari kili shs 2200-2500, maharage hayashikiki sembe ndio inakimbia tuende wapi sisi walalahoi..... JK inchi imekushinda kubali kungatuka

avatar10805_2.gif
 
Ukisema hivyo utaambiwa haya ndio maendeleo tuliyoletewa baada ya kushindwa kwa Nyerere. Sijui ni kwa kiasi gani waliomfuatia wamefanikiwa maana naona umaskini unaotisha na tofauti kubwa ya kipato miongoni mwa watumishi na wafanyakazi Tanzania.
 
miakaya 83 kunawadudu fulani hivi walitokea nakuanza kushambulia mimea mashambani walikuwa wengi balaa!!! tulikuwa tunawafahamu kwa jina la mbilizi. yaani usiombe wajaa mashambani hata kutembea tulikuwa tuna tembea kwa timing kukwepa kuwa kanyaga.mwaka uliofuata njaa njaa yake ilibidi serikali ilete chakula mfano wa ngano kilikuwa sijui kinaitwa buluga na mafuta ya usa.nilishuhudia baadhi ya watu wanashindia kula mboga mboga za polini.
tuombe mungu njaa kali kama hizo za mwaka 74 na 84 zisijirudie.

Hapo ndio ujuwe, dhulma inalipwa hapahapa duniani, madhila na dhiki hazikuanza hiyo 83, yameanza mara tu baada ya Nyerere kuanza kutaifisha watu kwa kubaguwa, wengine wakalipwa (wazungu), wengine hawakutaifishwa kwa majina yao (kina John Rupia) wengine wametaifishwa bila malipo. Hapo ndipo ilipoanzia laana ya nchi hii. Jiulize kwanini wengine wataifishiwe mali zao walipwe thamani yake, wengine wasitaifishwe na wengine wataifishwe kabisa bila kulipwa. Unafikiri Mungu atakuwacha?

Ndiyo unaona wanashushwa wadudu hata hawajulikani, hizo ndio shani zake.
 
Wakati anaondoka madarakani $1 ilikuwa sawa na 17/- . Njaa ilitokana na Oil embargo, ukame katika EA pamoja na hila za wamagharibi kuzuia ujamaa. Hata hivyo tulikuwa na Gold reserve yetu (benki na ardhini) na vijana walisoma bure.

Exchange rate sio kigezo cha mafanikio, leo China wanapigiwa kelele wapandishe thamani ya fedha yao, wanasita.

Hakuna reserve tuliyokuwa nayo benki wakati Nyerere anaondoka, kama huelewi itafute hotuba ya Ali Hassan Mwinyi maarufu "mikuki miwili" alieleza kinaga ubaga alikuta hakuna kitu benki. Kwa kukujuza tu zaidi, BOT ilichomwa moto kabla ya Nyerere kung'atuka na kila kitu kikaunguzwa, mpaka leo hakuna aliyesema moto ule umesababishawa na nani. Muujiza.

Mali zilizopo ardhini si zako mpaka pale utapoweza kuzitumia, usijidanganye kuwa una dhahabu iko chini ya ardhi basi ndiyo "reserve" yako, huo ni ukosefu wa utimamu. Dhahabu na maoi nyini zilizopo chini ya Ardhi zingine kuzichimba kwake ni gharama kubwa kuliko thamani yake. Ngoja kwanza uzichimbe uziweke benki ndiyo uhesabu kuwa ni "reserve" yako. Wacha kupiga alinacha.
 
Nilikupigia kura nikiamini kwamba ungeleta mabadiliko uliyoyaahidi......

Sioni sababu ya kulalamika kama ulimpigia kura, na kura yako itadumu kwa miaka mitano, so miaka mitano haijaisha vumilia tu dada subiri 2015
 
Mkuu acha uvivu hakuna maisha rahisi wala ya mkato fanya kazi kwa bidii..

Serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe hakuna ujanja unjanja kwenye maisha kama saizi upo kwenye Net unatumia pesa umetoa wapi amekupa Kikwete?

Wewe mtoto wa kiume usepende kulalamika pambana
 
Yap nataka life likaze namna hii hii miaka mingine 10 ndo wanawake wa nchi hii walioolewa na CCM akili zitawaingia kama kanga za kijani ni bora kuliko maisha yenu na vizazi vyenu.
 
hii picha ndio hali halisi ya mtanzania huyu mtoto amekata tamaa na maisha. kweli inatia uchungu sana sasa hivi dar sukari kili shs 2200-2500, maharage hayashikiki sembe ndio inakimbia tuende wapi sisi walalahoi..... JK inchi imekushinda kubali kungatuka

avatar10805_2.gif

Huyu mtoto MashaAllah, hali yake ki afya tu anaonesha kuwa yupo burdaan wa sharaba, aliyechoka anakuwa hivyo?
 
Nilikupigia kura nikiamini kwamba ungeleta mabadiliko uliyoyaahidi......

Sioni sababu ya kulalamika kama ulimpigia kura, na kura yako itadumu kwa miaka mitano, so miaka mitano haijaisha vumilia tu dada subiri 2015

Asiyeyaona hana macho, ulitaka uletewe mfuko wa fedha uambiwe haya shika katumie?
 
Back
Top Bottom