CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Hiyo ni digital camera in display screen kubwa kwa nyuma, hakuna haja ya kuchungulia kama camera za kizamani. Hapo alikuwa anaendeleza usanii wake tu.
Uzoefu wa kuchungulia? In maana ni voyeur?