Rais wa Zanzibar awateua Mufti na Kadhi Mkuu wa Zanzibar

Mkandara you have said it all .Take five man .I have been asking myself hapa kwamba akisha mchagua huyu anaweza kusimamia wanayo waamini waislam ? Na je Kwa katiba yetu au hata ya huko Zanzibar wale Minority inakuwaje ? Katiba inawatambuaje hawa wananchi wake ?I am puzzled for sure .

Unahitaji maarifa zaidi kuhusu swala hilo...

Rais akishamchagua haina maana kwamba ana muingilia kwenye kazi zake..kadhi anafanya kazi kwa mujibu wa tafsiri ya Quran..siyo kwa mujibu wa tafsiri ya Rais...

Kwa hiyo Rais yoyete yule anaweza kumchagua..kwa kufanya hivyo anakuwa na mamlaka ya kutoa uamuzi utakaoheshimika na mahakama period

Asipochaguliwa na rais..maamuzi yatahesabika kuwa na maamuzi ya taasisi (NGO)..na si kusudio la mahakama ya Kadhi..kususdio ni kutoa hukumu zitakazoheshimika na mahakama zingine as long muumin ameamua kutumia mahakama ya kadhi

Acha ushabiki na udini jielimishe..ok
 
Kwa uteuzi huu kwisha habari yao waislam bara .Hatuwezi kubali kumbe ndiyo maana wanalilia kuingizwa kwenye katiba .Wameishahauna kitu tena labda wahamie wote Zanzibar

"They get bitter, they cling to guns or religion or antipathy to people who aren't like them or anti-immigrant sentiment or anti-trade sentiment as a way to explain their frustrations."- Barrack Obama.

I see certain parallels between this statement made by BO and the above inboxed quote.

God Bless Tanzania.
 
Je, ikitokea Rais akawa mkristu kisha akamteua Mchungaji wa Kulutheri kuwa Shekh mkuu waislam watakubali?!!!

mawazo yako finyu sana, hata mtoto mdogo hawezi kuwaza kama wewe. 'mabata wadogodogo wanaogelea............................
Ni bora ungekaa kimya kuliko mawazo mfu haya unayopost.
 
[/QUOTE]kenya kuna mahakama ya kadhi na raisi mkristro,je huyo kadhi mkuu anapatkana vp?
 
kenya kuna mahakama ya kadhi na raisi mkristro,je huyo kadhi mkuu anapatkana vp?[/QUOTE]

Wakristo wa Tanzania bara ndio wanaponishangazaga...

Wana chuki na waislamu kuliko wakristo wote duniani..angalia wakenya, angalia UK...sijui hivi vikao vya jumuiya ndio source au ujinga wa kuto-soma?
 
Unahitaji maarifa zaidi kuhusu swala hilo...

Rais akishamchagua haina maana kwamba ana muingilia kwenye kazi zake..kadhi anafanya kazi kwa mujibu wa tafsiri ya Quran..siyo kwa mujibu wa tafsiri ya Rais...

Kwa hiyo Rais yoyete yule anaweza kumchagua..kwa kufanya hivyo anakuwa na mamlaka ya kutoa uamuzi utakaoheshimika na mahakama period

Asipochaguliwa na rais..maamuzi yatahesabika kuwa na maamuzi ya taasisi (NGO)..na si kusudio la mahakama ya Kadhi..kususdio ni kutoa hukumu zitakazoheshimika na mahakama zingine as long muumin ameamua kutumia mahakama ya kadhi

Acha ushabiki na udini jielimishe..ok
You don't get do You? hata waziri anapoteuliwa na rais hafanyi kazi za rais isipokuwa kwa mujibu wa tafsiri ya sera za chama, sio tafsiri ya rais...Once unapokuwa na master wako anayekuteua au kukuchagua huyo ndiye unamwakilisha kwa wananchi hatuzungumzii utekelezaji wa kazi. Mufti anatakiwa kuchaguliwa na Waislaam wenyewe tena maulamaa wenye kuelewa kwamba mchaguliwa amebobea ktk elimu zote na anaweza tafsiri Kuran kulingana na waumini wenyewe. Nambie sababu kwa nini haikufanyika hivyo..

Ati rais anaweza kumchagua Mufti wewe umeipata wapi? maanake ktk Uislaam mifano yote ipo ktk Kuran ama hadith, sasa nambie wewe umeweza vipi kuhalalisha rais mwanasiasa anaruhusiwa kumchagua Mufti wa jumuiya ya Waislaam! - imeandikwa wapi?

Huyu Shein nani? ktk daraja la maulamaa hadi yeye akabidhiwe mamlaka ya kumchagua Mufti na wasaidizi wake hali yeye ni mwanasiasa.. kwani anatumia vigezo gani?.. Acheni ujinga wa KiBakwata kuendelezwa na hii serikali inayotaka sana kuingilia mambo ya waislaam na mijitu mijinga inakubali hadi kupangiwa siku ya kufunga na kufungua Mwezi wa Ramadhan kwa makosa makubwa ambayo hayana sababu isipokuwa siasa na biashara. Rais hana budi kumtambua Mufti aliyechaguliwa na waislaam kama anavyomtambua Kardinali au Askofu ni kiongozi wa jumuiya.. Haya maswala ya rais kumchagua Mufti ndiyo yale yale ya Kibakwata bakwata!
 
You don't get do You? hata waziri anapoteuliwa na rais hafanyi kazi za rais isipokuwa kwa mujibu wa tafsiri za sera, sio za rais...Once unapokuwa na master wako anayekuteua au kukuchagua huyo ndiye unamwakilisha kwa wananchi hatuzungumzii kazi zako. Mufti anatakiwa kuchaguliwa na Waislaam wenyewe tena maulamaa wenye kuelewa kwamba mchaguliwa amebobea ktk elimu zote na anaweza tafsiri Kuran kulingana na waumini wenyewe...

Ati rais anaweza kumchagua Mufti wewe umeipata wapi? maanake ktk Uilaam ni Kuran ama hadith nambie wewe umeweza vipi kuhalalisha rais mwanasiasa anaruhusiwa kumchagua Mufti wa jumuiya ya Waislaam!

Huyu Shein nani? ktk daraja la maulamaa hadi yeye akabidhiwe mamlaka ya kumchagua Mufti na wasaidizi wake hali yeye ni mwanasiasa.. kwani anatumia vigezo gani?.. Acheni ujinga wa KiBakwata kuendelezwa na hii serikali inayotaka sana kuingilia mambo ya waislaam na mijitu mijinga inakubali hadi kupangiwa siku ya kufunga na kufungua Mwezi wa Ramadhan kwa makosa makubwa ambayo hayana sababu isipokuwa siasa na biashara.

Unapotea kaka!
Utaratibu wa kuteua unaweza kuwekwa na maulamaa wa kiislam, ultimately lazima kadhi ateuliwe rais katika watu ambao ulamaa wame-suggest kwa rais..

kuteuliwa na rais wa nchi ni kuonyesha kuwepo kwa mamlaka ya maamuzi na si ki-taasisi fulani tu..maamuzi yake lazima yaheshimiwe na vyombo vya dola..

Wewe ndio unawapotosha watu...kwa hiyo kenya rais anapomteua kadhi, kadhi wa kenya anamsikiliza bosi wake..you are going astray
 
Unapotea kaka!
Utaratibu wa kuteua unaweza kuwekwa na maulamaa wa kiislam, ultimately lazima kadhi ateuliwe rais katika watu ambao ulamaa wame-suggest kwa rais..

kuteuliwa na rais wa nchi ni kuonyesha kuwepo kwa mamlaka ya maamuzi na si ki-taasisi fulani tu..maamuzi yake lazima yaheshimiwe na vyombo vya dola..

Wewe ndio unawapotosha watu...kwa hiyo kenya rais anapomteua kadhi, kadhi wa kenya anamsikiliza bosi wake..you are going astray
Uliyepotea ni wewe nimekuuliza nambie wewe umeitoa wapi hiyo? hata Saudia kwenyewe sultan hamchagui Mufti iwe leo Tanzania! - Haya nambie rais akiwa mkristu je? au sheria zako zinabinjuka binjuka!
CCM wanajijenga zaidi kwa waislaam kuweka kada wao ambaye akisema waislaam wote mtamfuata, hii janja ya CCM wengine tumeisha ishtukia siku nyingi.
 
Ndio nasema ikitokea utafanyeje?..sisi tunaamini katika haki na haki itachelewa lakini itapatikana..tu..

Sio haki kuendeshewa Mahakama ya Kadhi (ambayo ni Ibada ya Waislamu) na Serikali! Kwani mkijianzishia Ibada zenu mungu wenu ala hazikubali?
 
Sio haki kuendeshewa Mahakama ya Kadhi (ambayo ni Ibada ya Waislamu) na Serikali! Kwani mkijianzishia Ibada zenu mungu wenu ala hazikubali?

Kwanza epuka dharau kwa Mwenyezi Mungu,

Pili hoja ya kuendeshwa na serikali siyo issue kwasababu serikali inaendesha shughuli za kanisa from 1992 through MoU tec na taasisi zingine zinapewa pesa za umma

Tatu wakristo wa Tanzania ndio wenye roho mbaya kupita wa kenya na kwingineko? mbona kenya wana mahakama ya kadhi and their still good christians na wanaishi vema na wakristo/waislamu..mahakama ya kenya iko financed na serikali..
 
Uliyepotea ni wewe nimekuuliza nambie wewe umeitoa wapi hiyo? hata Saudia kwenyewe sultan hamchagui Mufti iwe leo Tanzania! - Haya nambie rais akiwa mkristu je? au sheria zako zinabinjuka binjuka!
CCM wanajijenga zaidi kwa waislaam kuweka kada wao ambaye akisema waislaam wote mtamfuata, hii janja ya CCM wengine tumeisha ishtukia siku nyingi.

Nimekuelewesha hapo modalities za uteuzi zinaweza kuangaliwa..rais anapelekwa majina na maulamaa

Mkuu ccm = chadema=maaskofu kuhusu mambo ya waislamu hauna tofauti yeyote ...

Kwa hiyo ushabiki wako kwa chadema kusikufanye kupindisha ukweli
 
Nimekuelewesha hapo modalities za uteuzi zinaweza kuangaliwa..rais anapelekwa majina na maulamaa

Mkuu ccm = chadema=maaskofu kuhusu mambo ya waislamu hauna tofauti yeyote ...

Kwa hiyo ushabiki wako kwa chadema kusikufanye kupindisha ukweli
Hili ndio tatizo la Wadanganyika wengi. Wewe mdini halafu unashindwa kujibu maswali unaleta Uchadema kwangu mimi. Nimekuuliza vizuri tu modality hiyo umeipata kutoka hadith au aya gani? umeshindwa kunijibu haya nambie ktk Uislaam hata wa kawaida hii ya rais kumchagua Mufti mmeipata wapi kaa sii CCM wenyewe kuanzisha uchaguzi wa Mufti na viongozi wa Bakwata ili wapate full control ya waislaam.


Mkuu sii kwamba namdharau Shein, in fact I admire him ktk maswala ya uongozi lakini hii sii kazi yake..Mufti ni balozi wa waislaam na atachaguliwa na waislaam ili kuwawakilisha ktk serikali ambayo Shein ni mtawala. Haiwezi kuingia akilini balozi wa waislaam achaguliwa na rais ili kuwawakilisha kwake tena. Ni kinyume, He will be serving Pres interests kwa waislaam..Jaribu kutuliza akili zako upate kunielewa acha hizi habari za siasa na Udini unaopambana na hao wenye chuki na Uislaam. Mimi siko huko hata kidogo nazungumza kama Muislaam..
 
We hushangai hata ile swala ya kuombea marehemu wa ajali ya meli ilifanyika officially kwa waislamu tu? hv kwenye meli hapakuwa na watu wa dhehebu lingine?
 
nashukuru sana raia fumani maana na mie niliona hii habari nkajiuliza how come rais anachagua kiongozi wa kidini ilihali nchi si ya kidini?
 
msingi wa suala lenyewe la uteuzi linaonekana kabisa kutoka usaoni mwake kuwa lina maana ya kulenga jambo hiki ndo kile tunachokiita homa ya mungano.huwezi kuwa na jamii inayoendesha sheria inazozitambua yenyewe na kuacha zile za nchi nzima swali ni kuwa nani anyoshe kidole,very simple mi kuwa katiba imegeukwa hapa!ok kufuatia uteuzi huo unadhani watu hawa wana nguvu gani huku bara?Msingi wa uwepo wa kadhi ni kusimamia masuala ya kiislamu pale unapotokea mgongano kama hivyo inasemwa hivyo.
 
Inakuwaje tunaambiwa kuwa Tanzania ni secular state wakati Rais Zanzibar anawateua viongozi wakuu wa dini? Na ndio maana haya ya JUMIKI yanaibuka. Kumbe tatizo sio hii jumuia bali ni mfumo uliopo visiwani
 
Back
Top Bottom