nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Nimejionea katika sherehe zote za Mapinduzi ya Zanzibar kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hutangulia kufika uwanjani na Rais wa Zanzibar huwa wa mwisho.Akifika Rais wa Zanzibar hupigiwa mizinga na kukagua gwaride
Hii inaonesha kuwa kiitifaki Kwenye sherehe za Mapinduzi Rais wa Zanzibar huwa na hadhi zaidi ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Je hii ni sahihi na ipo wapi kwenye Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Hii inaonesha kuwa kiitifaki Kwenye sherehe za Mapinduzi Rais wa Zanzibar huwa na hadhi zaidi ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Je hii ni sahihi na ipo wapi kwenye Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?