Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 129
Kuna siku rais aliamua kwenda kutembelea hospitali ya vichaa ya mirembe. alipofika wagonjwa wote walimshangilia kwa nguvu kasoro mgonjwa mmoja ambae alikua nyuma kabisa. Basi rais akamfuata na kumuuliza " mbona wewe hunishangilii au hujui kama mimi ni rais wa tanzania?" jamaa akamjibu kwa dharau "karibu sana, hata mimi wakati nafika hapa nilikua nasema hayo hayo kua, "mimi ndio rais wa tanzania"