vichwa vyenu ni vigumu, mmekalia kuimba mapambio tuu, Mungu angewapa Tanzania yenye mito, mabonde, dhahabu, na sasa mafuta. Wamepewa shamba la kugombea !
Kuna laana zaidi ya kupewa mali usiyoifaidi? Kweli tumepewa kila kitu Tanzania lakini sababu ya laana tuliyonayo tumeuza urithi wetu kwa chakula cha siku moja kama inavyofanya serikali yako ya ccm unayoiunga mkono.