Pharaoh
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 843
- 157
Rais wa nchi ya Zanzibar mambo mazuri Uturuki, asije akaomba na silaha, kwa heshma kubwa kwa Uturuki, tunaijuwa nguvu yake kijeshi na kiuchumi, hata Israel inabembeleza ipate urafiki na Uturuki, Rais Gul na Shein wameongelea mengi na kupanga mengi, Rais wa Zanzibar amejitahidi kutotaja popote pale jina la Tanzania, hapa amekosea, Afrika mashariki anaitaja, mbona huyu JK wetu haongei popote asiitaje Z?
fuatilieni kwenye google halafu maoni?
fuatilieni kwenye google halafu maoni?