Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Nchi hii sijui kama itakuja ipate kiongozi mwingine wa ajabu kama tuliye nae sasa.
Hebu fikiria, katikati ya tatizo kubwa la ukosefu wa umeme ambalo kila mtu anashauri tuite janga la kitaifa, yeye yupo ziarani akiwabembeleza wawekezaji waje nchini!!!! Sijui hao wawekezaji watatumia nishati gani katika shughuli zao.
Kinachoniudhi na kunisikitisha sana ni kitendo cha rais kuongea na waandishi wa habari akiwa na uso wenye furaha na tabasamu lisilo na mashaka kwamba hajali kinachoendelea hapa nchini.
Kila siku ninaposali wakati wa kwenda kulala huwa namwomba Mungu atuepushe watanzania kupata rais wa aina hii.
Hebu fikiria, katikati ya tatizo kubwa la ukosefu wa umeme ambalo kila mtu anashauri tuite janga la kitaifa, yeye yupo ziarani akiwabembeleza wawekezaji waje nchini!!!! Sijui hao wawekezaji watatumia nishati gani katika shughuli zao.
Kinachoniudhi na kunisikitisha sana ni kitendo cha rais kuongea na waandishi wa habari akiwa na uso wenye furaha na tabasamu lisilo na mashaka kwamba hajali kinachoendelea hapa nchini.
Kila siku ninaposali wakati wa kwenda kulala huwa namwomba Mungu atuepushe watanzania kupata rais wa aina hii.