Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,467
- 40,973
makamu wa rais je?
Akija mgeni, akawaona viongozi wetu ni aibu tupu. Lazima atajiuliza, 'hivi katika kundi kubwa la watu wanaokaribia 40 milioni, hawakuona na hawakuwapata wengine wowote zaidi ya hawa? Huyo makamu, hata sijui tumzungumzieje, maana akianza kuongea ----- ngonjera siyo ngonjera, mashairi siyo mashairi, nyimbo siyo nyimbo, lakini huwa anakuwa kama anaimba wimbo aliokaririshwa. Ukisikia tena kuwa ni Dr, hapo ndiyo unazidi kushangaa. Na uDr kama ndiyo ni kuwa hivyo, basi aheri kuwa mhunzi.