Mkuu Kibiloto, tukimkosa EL au Membe, then huyu atatufaa sana maana kwa uhakika tutapata ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania!.Ndg zangu nashauri tumuombe prof maghembe agombee rais mwaka 2015 kwani ni msomi na katika kipindi alichoo kaa serikalini amefanya mambo makubwa ndiyo maana wizara moja hadi nyingine kila mara nyingine bigup
Anafaa kuwa rais wa nyumba yenu !
Ndg zangu nashauri tumuombe prof maghembe agombee rais mwaka 2015 kwani ni msomi na katika kipindi alichoo kaa serikalini amefanya mambo makubwa ndiyo maana wizara moja hadi nyingine kila mara nyingine bigup
Umenifurahisha, tatizo ni mlevi wa Jack Daniels, nina wasiwasi anaweza kupatwa na ugonjwa wa kusahau....akajikuta anasahau kama yeye ni Rais.
Ndg zangu nashauri tumuombe prof maghembe agombee rais mwaka 2015 kwani ni msomi na katika kipindi alichoo kaa serikalini amefanya mambo makubwa ndiyo maana wizara moja hadi nyingine kila mara nyingine bigup
Miaka mitatu wizara tano na bado analalamikiwa kwa utenmdaji mbovu bado awe rais duh kweli umeota ndoto njema sana