Rais umenisononesha kwenye BBC News

Ulioleta hii mada unam quote Rais out of context, mbona huongei na laivyosema kuwa kwa awamu zote zilizopita umeme uliwekezwa ni 600MW tu na nyingi zinategemea vyanzo vya maji. Na katika kipindi chake kifupi 145MW tayari (si za kutegemea maji) na mitambo mingine ipo njiani ambayp imeagizwa kuanzia June mwaka jana, mipya kabisa. Na uwekezaji mwingine kwenye makaa ya mawe na njia zingine mbadala, mbona yote hayo huyasemi? Au ulitaka mitambo ikiagizwa leo kesho ifanye kazi? Unanshangaza! Kakosea nini hapo na ndivyo vyanzo vya umeme alivyovikuta na mvua zimegoma kujaza mabwawa, hayo ndio baadhi ya matatizo aliyokuta kawachiwa na awamu zilizopita nae anafanya kila njia kuhakikisha anayatatua na mfano mzuri kuwa mitambo imeagizwa na mikataba imesainiwa na jitihada zinafanywa sio kama hazifanywi ulitaka nini zaidi ya hicho?
Kwanza kabisa,siyo jambo la kujisifu ikiwa unazalisha umeme kwa kutumia non-renewable sources,kwa sababu naona kama unazifagilia generators zinazotumia mafuta.
Pili ukosefu wa mvua sio sababu ya kukosekana kwa umeme,but let's say ndiyo sababu,mvua hailetwi na mungu bali binadamu.Tumechukua hatua gani kuhakikisha rufiji river basin inapata mvua?
Tatu,uwekezaji wa kwenye makaa ya mawe ni hadithi tulizozisikia muda mrefu,mungu jalia tukipata megawati kadhaa kutoka kiwira(200 and above),nitampa pongezi zake.
Mwisho,ni aibu kwa nchi yenye natural gas,water,sunshine,coal na matakataka mengi barabarani kuagiza mitambo inayotumia disel(nyakato).
 
Kwanza kabisa,siyo jambo la kujisifu ikiwa unazalisha umeme kwa kutumia non-renewable sources,kwa sababu naona kama unazifagilia generators zinazotumia mafuta.
Pili ukosefu wa mvua sio sababu ya kukosekana kwa umeme,but let's say ndiyo sababu,mvua hailetwi na mungu bali binadamu.Tumechukua hatua gani kuhakikisha rufiji river basin inapata mvua?
Tatu,uwekezaji wa kwenye makaa ya mawe ni hadithi tulizozisikia muda mrefu,mungu jalia tukipata megawati kadhaa kutoka kiwira(200 and above),nitampa pongezi zake.
Mwisho,ni aibu kwa nchi yenye natural gas,water,sunshine,coal na matakataka mengi barabarani kuagiza mitambo inayotumia disel(nyakato).


Generators za kutumia mafuta ni utatuzi wa tatizo kwa muda mfupi. Kama umemsikiliza JMK mara nyingi kuhusu swala la umeme kisha sema kuna njai fupi ambazo ndio haya majenereta ya umeme, kuna njia za kati ambazo ni pamoja na Gas na kuna njia za muda mrefu ambazo ni pamoja na kuhuisha mradi wa Steigler Gorge. Mnanini?
 
kobello;2264791]Kwanza kabisa,siyo jambo la kujisifu ikiwa unazalisha umeme kwa kutumia non-renewable sources,kwa sababu naona kama unazifagilia generators zinazotumia mafuta
Hapa ndpo mapenzi na ushabiki vinapozidi ukweli mtu anajikuta anatetea uzembe!
Pili ukosefu mvua sio sababu ya kukosekana kwa umeme,but let's say ndiyo sababu,mvua hailetwi na mungu bali binadamu.Tumechukua hatua gani kuhakikisha rufiji river basin inapata mvua?
Wakulima na wafugaji bonde la Usangu, kwanini mabwawa yajae matope. Uharibifu wa sources n.k
Tatu,uwekezaji wa kwenye makaa ya mawe ni hadithi tulizozisikia muda mrefu,mungu jalia tukipata megawati kadhaa kutoka kiwira(200 and above),nitampa pongezi zake
Halafu anajinasifu alikuwa waziri wa nishati! alikuwa anashughulika na nishati ipi endapo hajui makaa ya mawe yanaweza kutoa nishati.
Mwisho,ni aibu kwa nchi yenye natural gas,water,sunshine,coal na matakataka mengi barabarani kuagiza mitambo inayotumia disel(nyakato)
Sidhani kuwa na natural gas, water,wind, sunshine na coal kuwepo ni aibu! aibu kubwa ni kushindwa kuvitumia vyanzo hivyo na kukimbilia kumlaumu mwenyezi mungu. Ipo siku tutasikia mheshimiwa anamlaumu mungu kutojenga nguzo za umeme au kutandika nyaya! so sad. Mtu anayeitetea hiyo interview ya BBC ima amesimuliwa au hajui kilichoongelewa japo kwa upungufu wa mwandishi
 
Hatuna rais hapa. Tuna kila sababu ya kumkataa. Angalia matatizo/majanga aliyotuletea kipindi cha utawala wake:-
RICHMOND, IPTL, MABOMU YA MBAGARA, GONGOLAMBOTO, EPA, KAGODA, RADA, UFISADI ULIOKITHIRI, MIKATABA MIBOVU KWENYE MADINI, POLISI WANAUA WATU HOVYO, UMEME, KUWAITA WALIMU MAMBAYUWAYU Na mengine mengi sana yasiyo na idadi. Rais hatutendei haki hata kidogo. Tutamkumbukuka kwa haya ya utawala wake, hata sisi watanzania tumezidi mno kuwa waoga mwishowake tutakuja kuuzwa tukiwa hai maana hakuna watushituka hadi tuone mambo yote yameharibika na hakuna tutakachokiokoa. Inasikitisha sana
 
Wana JF piga ua tunako elekea pamoja na upole kama sio ustaarabu wetu sasa yabidi tubadilike.Nasema tubadilike kwani huyu jamaa yetu tuliemuamini sana (JK) sasa tumemchoka! Kashfa nyigi zinazo ibuliwa ni mzito sana kuzitolea maamuzi,kwa kifupi anataka tuige mifano ya Misri,Libya na kwingineko! Na hu wakati sasa umefika,Tumechoka,wanadadai chama chetu kimevua gamba wakati tunaongozwa na raisi sharobaro mtalii,muuza sura duniani kila siku safarini utadhani hana watu wa kumuwakilisha! Raisi anaye ongoza kwa safari za nje DUNIANI ana MAGAMBA kwa kuwabeba wenye gamba!
 
Wana JF piga ua tunako elekea pamoja na upole kama sio ustaarabu wetu sasa yabidi tubadilike.Nasema tubadilike kwani huyu jamaa yetu tuliemuamini sana (JK) sasa tumemchoka! Kashfa nyini zinazo ibuliwa ni mzito kuzitole maamuzi,kwa kifupi anataka tuige mifano ya Misri,Libya na kwingineko! Tumechoka, tunaongozwa na raisi sharobaro mtalii,muuza sura duniani kila siku safarini utadhani hana watu wa kumuwakilisha! Raisi anaye ongoza kwa safari za nje DUNIANI
 
Ulioleta hii mada unam quote Rais out of context, mbona huongei na laivyosema kuwa kwa awamu zote zilizopita umeme uliwekezwa ni 600MW tu na nyingi zinategemea vyanzo vya maji. Na katika kipindi chake kifupi 145MW tayari (si za kutegemea maji) na mitambo mingine ipo njiani ambayp imeagizwa kuanzia June mwaka jana, mipya kabisa. Na uwekezaji mwingine kwenye makaa ya mawe na njia zingine mbadala, mbona yote hayo huyasemi? Au ulitaka mitambo ikiagizwa leo kesho ifanye kazi? Unanshangaza! Kakosea nini hapo na ndivyo vyanzo vya umeme alivyovikuta na mvua zimegoma kujaza mabwawa, hayo ndio baadhi ya matatizo aliyokuta kawachiwa na awamu zilizopita nae anafanya kila njia kuhakikisha anayatatua na mfano mzuri kuwa mitambo imeagizwa na mikataba imesainiwa na jitihada zinafanywa sio kama hazifanywi ulitaka nini zaidi ya hicho?
Wewe ni mama budi upembue mambo kiyakinifu! utetezi unaotoa unaenda na wakati? ulikuwa na watoto2, leo familia imeongezeka mko6, huwezi ukajidai kwamba watoto mnalalamika njaa wakati nimeongeza unga robo si mlikuwa mnakula nusu? umeshindwa kuongeza unga kulingana na idadi ya uhitaji! jee idadi ya leo sawa na jana? hujiulizi jana hawakulalamika kunani leo? wewe kama unatumia kupembua mambo kutumia mtandao wa tigo sawa, lakini kama unatumia akili kuna walakini inabidi wakuflash!
 
Jamaa ni mzee wa majibu mepesi kwa maswali magumu! Amejaa mbwembwe tu mdomoni, aliniudhi sana.
Watanzania walichagua sura! Hatuna raisi tuna muuza sura! Angalia EPA,KAGODA,RADA,RICHARDMONDULI hadi leo tunasiki malumbano mjengoni hawajamaa walioitwa ze komedi na MNYIRAMBA aliepewa likizo ya malipo!Muuza sura yuko kwa Mzee Madiba anacheza Kwaito!! Anaongea na bbc anasema hana uwezo wa kuongea na mungu! Binadadamu gani aliwahi kuongea na mungu! Nina hakika hata mtoto wa chekechea anajua kusema haki ya mungu kakini lakini mungu mwenyewe hamuoni kakini raisi wetu hana uwezo wa kuongea na mungu! Labda yeye anamuona ila hana uwezo wa kuongea nae!
 
"Mzee ruksa miaka 10 hakuyamalza, mzee Nkapa miaka 10 hakuyamalza, mie miaka 5 hayajaisha nmeongeza 5 mingne hayatakwsha" Jk
 
Beaking News ITV na Radio One leo mchana, Jairo amesimamishwa kazi, CAG atafanya uchunguzi wa kifedha Wizarani hapo kuthibitisha kama mashtaka dhidi ya Jairo apelekwe kwa pirato.


Ongelea rais kilaza. Achana na hao waigizaji au tengeneza post mpya. We CCM nini
 
Wewe ni mama budi upembue mambo kiyakinifu! utetezi unaotoa unaenda na wakati? ulikuwa na watoto2, leo familia imeongezeka mko6, huwezi ukajidai kwamba watoto mnalalamika njaa wakati nimeongeza unga robo si mlikuwa mnakula nusu? umeshindwa kuongeza unga kulingana na idadi ya uhitaji! jee idadi ya leo sawa na jana? hujiulizi jana hawakulalamika kunani leo? wewe kama unatumia kupembua mambo kutumia mtandao wa tigo sawa, lakini kama unatumia akili kuna walakini inabidi wakuflash!

Usifananishe njaa na umeme, be realistic, kuhusu njaa alishasema hafi mtu hapa. Au umeisahau njaa aliyoikuta baada ya kuwachiwa nchi na Mkapa? nakushangaa sana kwenye mambo ya nchi ambayo kila moja lina kipa umbele wake wewe unafananisha chakula na umeme wakati chakula ni issue kubwa kipekee.
 
Ulioleta hii mada unam quote Rais out of context, mbona huongei na laivyosema kuwa kwa awamu zote zilizopita umeme uliwekezwa ni 600MW tu na nyingi zinategemea vyanzo vya maji. Na katika kipindi chake kifupi 145MW tayari (si za kutegemea maji) na mitambo mingine ipo njiani ambayp imeagizwa kuanzia June mwaka jana, mipya kabisa. Na uwekezaji mwingine kwenye makaa ya mawe na njia zingine mbadala, mbona yote hayo huyasemi? Au ulitaka mitambo ikiagizwa leo kesho ifanye kazi? Unanshangaza! Kakosea nini hapo na ndivyo vyanzo vya umeme alivyovikuta na mvua zimegoma kujaza mabwawa, hayo ndio baadhi ya matatizo aliyokuta kawachiwa na awamu zilizopita nae anafanya kila njia kuhakikisha anayatatua na mfano mzuri kuwa mitambo imeagizwa na mikataba imesainiwa na jitihada zinafanywa sio kama hazifanywi ulitaka nini zaidi ya hicho?

we mama huwa unampikia mumeo saa ngapi?kuutwa uko hapa kutetea chama cha magamba
 
we mama huwa unampikia mumeo saa ngapi?kuutwa uko hapa kutetea chama cha magamba

Na wewe kutwa nzima ulikuwa unafanya nini? sisi hatujaolewa kupika wala kufua wala kuosha viombo "twalishwa twavishwa". khee unataka nikaigeuze mikono iwe kama fundi Mechanic? Haa mie Gozi langu linanipikia na kunifulia na likiwa kazini limeniwekea mpishi, mama la kitanga lapika kila kitu. Hee nikishaota sugu za mikono halafu ntamshika wapi mume wangu? si atachubuka? labda nyie ndio mnaolewa mkapike! unanchekesha!
 
Na wewe kutwa nzima ulikuwa unafanya nini? sisi hatujaolewa kupika wala kufua wala kuosha viombo "twalishwa twavishwa". khee unataka nikaigeuze mikono iwe kama fundi Mechanic? Haa mie Gozi langu linanipikia na kunifulia na likiwa kazini limeniwekea mpishi, mama la kitanga lapika kila kitu. Hee nikishaota sugu za mikono ntamshika halafu wapi mume wangu? si atachubuka? labda nyie ndio mnaolewa mkapike! unanchekesha!

Nani kakwambia kwamba yeye ni she? Au unababaika na Avatar? Shauri yako.
 
Nani kakwambia kwamba yeye ni she? Au unababaika na Avatar? Shauri yako.

Kwa kupatia mambo weyee? mie ni zaidi ya he, hilo naamini kabisa ikiwa ma he wenyewe kazi yao kulalamika tu? Unanchekesha!
 
Back
Top Bottom