Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Rais umenisononesha kwenye BBC
Ama kweli kabla hujafa hujaumbika, rais wetu nilimsikia akijibu swali la mtangazaji BBC kuwa yeye hana uwezo wa kumwambia mungu anyeshe mvua ili tupate umeme!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwani Uganda, Kenya Rwanda, Burundi na nchi tunazopakana wao wana uwezo wa kumwambia Mungu?
Hivi nchi za Uarabuni ambako hawana hata mito napengine mvua kutonyesha mbona wana umeme wa uhakika?
Ati wanao ona kuna haja ya kuamua vinginevyo waje na ushauri nao wataufuata! kama wafanyakazi wanakula mshahara kutokana na kazi hiyo iweje watu wa nje ya wizara kuja kushauri ama TANESCO na serikali wote wana mapungufu ya kufikiri?
Pengine nimeona amejidhihirisha ulimwenguni kuwa viongozi TZ wana uwezo mdogo wa kuamua mambo ya nchi yao.
CHADEMA hii nchi jamaa imesha washinda, msitegemee irudi ktk hali ya kawaida. Si mnaona JK amemfanyaje katibu wa aizara ya nishati na madini aliyesababisha bajeti kuahirishwa??. San asana kwa mahojiano ya jana alikuwa akimtetea. Mpaka sasa ninavyo andika hapa tunatumia jenerator na umeme hakuna.
WATANZANIA TUMEPIGIKA SANA!
Ama kweli kabla hujafa hujaumbika, rais wetu nilimsikia akijibu swali la mtangazaji BBC kuwa yeye hana uwezo wa kumwambia mungu anyeshe mvua ili tupate umeme!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwani Uganda, Kenya Rwanda, Burundi na nchi tunazopakana wao wana uwezo wa kumwambia Mungu?
Hivi nchi za Uarabuni ambako hawana hata mito napengine mvua kutonyesha mbona wana umeme wa uhakika?
Ati wanao ona kuna haja ya kuamua vinginevyo waje na ushauri nao wataufuata! kama wafanyakazi wanakula mshahara kutokana na kazi hiyo iweje watu wa nje ya wizara kuja kushauri ama TANESCO na serikali wote wana mapungufu ya kufikiri?
Pengine nimeona amejidhihirisha ulimwenguni kuwa viongozi TZ wana uwezo mdogo wa kuamua mambo ya nchi yao.
CHADEMA hii nchi jamaa imesha washinda, msitegemee irudi ktk hali ya kawaida. Si mnaona JK amemfanyaje katibu wa aizara ya nishati na madini aliyesababisha bajeti kuahirishwa??. San asana kwa mahojiano ya jana alikuwa akimtetea. Mpaka sasa ninavyo andika hapa tunatumia jenerator na umeme hakuna.
WATANZANIA TUMEPIGIKA SANA!