Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
mhe MAKONGORO MAHANGA unasikia hiyoooooooooo
.
Nini?? Huyu jamaa na serikali yake wana uthubutu hata wa kumnyanganya chakula mwanamke anaenyonyesha wakile wao.
.
mhe MAKONGORO MAHANGA unasikia hiyoooooooooo
Kama Africa ni bara la weusi mbona babu yako Mugabe anamuunga mkono Gaddafi, kwani hajui kuwa Gaddafi sio mweusi? Mbona anamuunga mkono Bashir badala ya waasi wa Darfur ambao ni weusi kuliko hata yeye na wewe, au hajui kuwa bashiri ni mwarabu?Je mtu mweusi anaweza kuwa makamu wa rais au rais usa au wazir mkuu uk,kwa vile tu amezaliwa huko?don't tell me about obama(half cast)mi naungana na bob mugabe kwamba africa ni bara la mtu mweusi hao jamaa wana kwao.kwetu ni kwao kwa nini?(kandoro saadan)
Miaka hamsini baada ya kuwafukuza kwa mbwembwe leo hii tunawarudisha kwa mbwembwe tena!! Ama kweli hii ndio Africa. Tumepitia Ukoloni Mkongwe, Ubeberu, Uhuru wa Bendera, Ukoloni Mamboleo na sasa tunarudi kwenye ukoloni mkongwe wa kutawaliwa na wazungu. Ina maana Waafrica tumeshindwa kabisa kujitawala kabisa kabisa!!
Kati ya mimi na wewe kwa huo mtizamo nani anaonekana kilaza?
Unamaanisha kuwa Zambia nzima hamna mtu anayeweza kudeliver zaidi ya huyu mzungu?
Nyie ndio watu msiojiamini, mnawahusudu wazungu, mnaona wao ni kila ktu
hapo kwenye red ni 'shubiri' kuliongelea hapa TZ lakini ina kaulweli fulani. Mambo ya "Ideology" yana mchango mkubwa katika maendeleo ya jamii yoyote unless kuamua kuishi kama (mfano) China ni bora
mhe MAKONGORO MAHANGA unasikia hiyoooooooooo
Mi nafikiri huyo mheshimiwa yuko sahihi kwani nafsi yake ina msuta.
MZEE SATA USIJE UKAMDHALILISHA HUYO 'DR HOSEA' WAKO AKASHINDWA KAZI:
TAFADHALI JITOFAUTISHE NA WINGI WA MARAIS WA BARA HILI KWA KUMUIGA KAMANDA PAULO KAGAME
Jamani; this guy seem to have made himself a MOST DEFINING programme siku nyingi hata kabla hajachaguliwa kuwa rais na kwa kule kutafuta urais kulikua tu ni jambo la pili katika harakati zake.
Kuna kila dalili kwamba Mzee Paulo Kagame, mzee wa kushindia kikombe cha chai ya rangi tu huku akichapa kazi yenye TIJA kwa taifa la, anaelekea kumpata mwenzake mwenye KUUMWA NA UMASIKINI wa taifa lake kwa jina la Mikaeli Sata.
Sasa naanza kuelewa kwa nini Satta amewakonga sana nyo Wa-Matumbi wenzangu nami nikiwemo. Ni kutokana na ukweli kwamba kwetu Bongo watu hutafuta URAIS kwanza tena kwa udi na uvumba, halafu baadaye ndipo anapoanza kufanya WINDOW SHOPPING kwa watu kama Tambwe Hiza, Yussuf Makamba na kuwakimbia akina Prof Mkandala, Baregu, Lipumba ...
... hala mwisho wa siku tunajikuta mbele hakuendeki nyuma hakurudiki kama hivi sasa ambapo kama taifa TUPO TUPO KWANZA kwa kipindi kisichojulika.
Mzee Sata, kwa kuwa huyo 'Dr Hosea' wa Zambia umemteua mwenyewe kwa malengo maalum ya kutokomeza UFISADI katika taifa lenu, sasa usije ukamdhalilisha kwa kumbana asifanye kazi yake ipasavyo.
Sote tunakagua kila unapotoa unyayo wako kwa sababu siku zote tunamini safari ya mbali kuwa salama au la hutambulishwa namwelekeo wa guu la kwanza. Kwako wewe mpaka hapo umefaulu sana mtihani.
Big Up Uncle Sata, mpaka hivi sasa kidogo nimeanza kuwa muumini wa aina ya Mtiririko wa Fikra zilizokufnya ujihisi unao mchango wa kutumikia wananchi wako. Naona kama vile Balozi wako atakua na kazi laini sana hapa maana hana haja tena kutueleza ya kwamba wewe ni mwanamageuzi kiasi gani.
Kusema kweli, barani Afrika tunao Marais (52) wengi sana lakini wale waliokwisha kutambua 'KITU GANI WAKAKIFANYIE' mataifa yao ili maisha yawe mazuri zaidi ni wachache mnoooo; hao ni pamoja na Kamanda Paul Kagame wa Rwanda, Rais wa Botswana kama walivyoasisiwa na Mzee Masire, na hivi sasa japo kwambaaaali sana, jinsi anavyowafanyia Wa-Kongo yule kijana wetu wa Mbezi hapa Bongo.
Mbali na hao, marais wengine wooote ndio vyanzo nya umasikini Barani kwetu kwa kwa kuendekeza mtazamo wa 'KITU GANI LAKE LIKAMFANYIE YEYE' kwa kuwa keshavishwa joho la Bwana Mkubwa.
Bure kabisa, hamna kitu kwa hao wengine - kila siku kupora kila kitu hadi mbegu ya kustahili kupandia msimu unaofuatia.
nashangaa sana mpaka leo ngeleja,hosea kuwepo madarakani