rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
kwa mara ya kwanza Africa tangu tupate uhuru mzungu ameteuliwa kuwa makam wa rais
hiyo ni dalili tosha kuwa Rais Sata yuko serious kuibadilisha zambia na mifumo yote mibovu
vile vile ameteua wanachama wa vyama vingine kuunda serikali jambo ambalo hapa kwetu ni ndoto ya mchana
kitendo cha mzungu kuwa makamu wa rais kinaonyesha jinsi wenzetu walivyokomaa na walivyo na elimu kubwa ukilinganisha
na sisi watanzania tunavyohangaika na makamu wa marais wetu wanaopenda sana vibaghashia vya bakwata kushika hiyo nafasi
Zambia has white vice president, as Sata creates another ministry | Zambian Watchdog
hiyo ni dalili tosha kuwa Rais Sata yuko serious kuibadilisha zambia na mifumo yote mibovu
vile vile ameteua wanachama wa vyama vingine kuunda serikali jambo ambalo hapa kwetu ni ndoto ya mchana
kitendo cha mzungu kuwa makamu wa rais kinaonyesha jinsi wenzetu walivyokomaa na walivyo na elimu kubwa ukilinganisha
na sisi watanzania tunavyohangaika na makamu wa marais wetu wanaopenda sana vibaghashia vya bakwata kushika hiyo nafasi
Zambia has white vice president, as Sata creates another ministry | Zambian Watchdog