Rais Obama awakataza uhamiaji kurudisha 'young illegal immigrants'!...Wabeba maboksi wenzangu mpo?

Hadithi za vijiweni zitakwisha lini? Hivi unaijua thamani ya dola? USD 85,000 unaijua au umepata wepesi wa kuaindika? Daktari aliyemaliza majaribio na kuanza kazi hatengezi USD 85,000 mkiwa kwenye hivyo vijiwe vya kahawa uliza kwanza; hivi kwa akili inakujia ukishindwa na maisha Marekani ya bongo utayaweza? Msipoteze muda kuandika vitu msivyovijua Marekani maisha tambarare asiyefanya kazi jua fika hataki kufanya kazi.

Chama
Gongo la Mboto DSM

Usijipe moyo dogo. Kama umeshindwa kutengeneza USD 85,000 kwa mwaka hapo US wewe ni loser na maisha yako si tambarare. Tena hiyo USD 85,000 kwenye majimbo makubwa kama California au New York si hela kabisa. Hata nyumba ya maana huwezi kununua na mshahara wa USD 85,000. Wewe labda utuambie maisha yako tambarare kwa vigezo vipi. Unatumia criteria gani kuona maisha tambarare?
 
Hivi wewe uliye Tanzania una nini cha zaidi?

Anaweza kuna ana asset nyingi kuliko wewe. Nyumba kama amejenga bongo ni ya kwake. Wewe kama unanunua nyumba US unanunua kwa mikopo (mortgage). Ukifukuzwa kazi benki inakupora nyumba unaenda kulala barabarani. Tena kama unapangisha nyumba ni utafukuzwa kama mbwa. Gari linaweza kuwa ni la kwake. Wewe gari lazima ununue kwa mikopo. Kwa hiyo ukipiga hesabu, aliye bongo anaweza kuwa amekuzidi financially wewe uliye US.
 
Anaweza kuna ana asset nyingi kuliko wewe. Nyumba kama amejenga bongo ni ya kwake. Wewe kama unanunua nyumba US unanunua kwa mikopo (mortgage). Ukifukuzwa kazi benki inakupora nyumba unaenda kulala barabarani. Tena kama unapangisha nyumba ni utafukuzwa kama mbwa. Gari linaweza kuwa ni la kwake. Wewe gari lazima ununue kwa mikopo. Kwa hiyo ukipiga hesabu, aliye bongo anaweza kuwa amekuzidi financially wewe uliye US.

Mambo ya "anaweza" hayahusiki hapa manake kama ni kuweza tu basi hata mimi ninaweza kuwa na hizo assets pia.
 
Usijipe moyo dogo. Kama umeshindwa kutengeneza USD 85,000 kwa mwaka hapo US wewe ni loser na maisha yako si tambarare. Tena hiyo USD 85,000 kwenye majimbo makubwa kama California au New York si hela kabisa. Hata nyumba ya maana huwezi kununua na mshahara wa USD 85,000. Wewe labda utuambie maisha yako tambarare kwa vigezo vipi. Unatumia criteria gani kuona maisha tambarare?

Hujui professional yangu mimi nakwambia maisha yangu tambarare hilo sina wasiwasi nalo; unajua watu kama wewe ambao hata shughuli ya maana hamna ndio mnaoweweseka na maisha ya US; kinachochangia gharama ya maisha Marekani ni nyumba; kwenye miji mijikubwa kama Washington Metropolitan apartment ya vyumba viwili ni kati ya USD 1150- 1450 kwa mwezi kwa hiyo kwa mwaka nyumba pekee itakugharimu kati ya usd 13,800- 17,400 kwa vijana wengi ambao wapo single nyumba moja wanakaa 3 hadi 4; turudi kwenye kipato kazi ya chini kama cna wanalipwa kwa kuanzia wanalipwa USD 11.50 (kima cha chini Mareakani ni 7.25) cna kwa mwaka (bila masaa ya zaida kama hataki kufanya kazi ) ni 11.50x40x52= 23,920, turudi kwenye gharama nyumba wanakaa 4 kwa mwaka kodi yake ni 17400/4= 4350 gharama nyingine chakula 1500+usafiri1000 (train)+kujirusha 2000=gharama zote 8,850 wewe fanya katumia 10,000 salio la mwaka usd 13,920 jee kiasi sawa na tz kiasi gani ?13920 x1495= 20,810,400; jee ni watanzania wangapi wenye kazi za kawaida kama vile mwalimu au nesi mwenye uwezo wa kuwa salio kama hilo kwa mwaka? Wote tulipitia haya maisha ya 11.50 kwa saa kabla hatujafikia hapa tulipo acha story za vijiweni hapa tunaongelea USD sio zimbabwe dola; kwa ufupi tu vijana wengi wakitanzania wanatengeneza zaidi ya hicho kiwango nilichokuwekea kwa ufupi ukitengeneza 30,000 tu kwa mwaka upo pazuri; usisikie maneno ya vijiweni ukipata upenyo wa kuja US kutafuta maisha njoo; ukishindwa hapa rudi zako nyumbani kunywa sumu wakuzike. Namshukuru Mungu kunifumbua macho na kuniwezesha kunifikisha hapa nilipo; jiulize kwanini kila taifa wanakimbilia kutaka kuishi US? Marekani jitihada zako kuna watu tumefanya nao kazi za 11.50 CVS pharmacy na sasa hivi wana Ph.d mambo tamabarare kichwa chako tu

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Mkuu MziziMkavu, unayosema ni kweli, lakini pia nadhani unakumbuka usemi unaosema kua "ikisha bidi imebidi". na ukweli ni kwamba hakuna mtu anaejua hatma yake. Wakati nilivokuwa kijana mdogo, niliona vijana wengi, wakizamia. Nyumbani ilikua kwenye kona. Unaweza amka asubuhi mara unasikia masela wanne wameondoka. Baada ya mwezi mara unamuona mmoja au wawili wamekaa kona, ukiuliza unaambiwa, ahh kurudishiwa msumbiji. Lakini hakuna dharau dhidi yao au kokolo yoyote. Ama kwa hakika, walionekana kama changamoto, hasa walipokua wakihadithia their misfortunes zilisababishwa kurudishwa. Masela wengine walikua wanajifunza wasirudie mistakes.
Na kwa upande mwingine, wale wanaofanikiwa kuzamia (dangerous journey) na kupata vibarua huko mtoni, kuna wakati walikua wanarudi nyumbani. Kuna waliokua wanarudi na mavazi mazuri na pesa kidogo. kuna wanaorudi na gari, nguo na pesa kidogo. na kuna walio rudi wakiwa na Mascania na kununua nyumba nzuri. Na kuna wale waliokua wakitumwa kusoma nje. hao walirudi bila vitu vingi vya fahari. Hawa wote walipokelewa na baadae kuchanganyika katika jamii.

Katika makundi yote nilio taja hapo juu, kundi lililo fanikiwa in a long run hapa nyumbani, ni la wale waliorudi bila magari wala vitu vingine vya kunyesha mafanikio yao. Kuna wakati binadamu tunatafuta kitu mbali kumbe kiko hapo karibu yetu. Kaka MziziMkavu, nadhani umekwisha wahi tafuta funguo kumbe zilikuepo jirani tu. Nafikiri na maisha ni hivo hivo, tusiogope kurudi nyumbani kwa kuogopa kukunyanyaswa. Huenda tunachotafuta tumekiacha kona.

Ningependa, atakae jaaliwa afanya hii quick study. (nimewahi kufanya hii na kaka yangu, tukatabasamu). Toka barabarani, halafu kadiria hesabu za nyumba zote mtaani. Kisha uliza, ngapi kati ya nyumba hizi wenye nazo wako ulaya au marekani au sauza? Ukipata jibu, utakuta nyumba nyingi ni za watu ambao wako hapo hapo,. Huku nje nadhani labda kuko over rated katika baadhi ya mambo.
Kitu kingine ningependa kurudia kuhusu wale waliorudiaga na Vitu vya thamani, baada ya muda wengi wao hupoteza mali walizorudinazo, mainly kutokana na bad management. Hawa tuwahurumie. Wamejidhili na kujitahidi kutunza fedha ili zikawasaidie nyumbani, lakini wengine huamini watu wajinga au wezi, wengine huingia biashara mbaya. Almuradi kuna njia nyingi za kupoteza fedha, hata huwezi laumu. Ukijaaliwa, soma kitabu kinachoitwa THE ALCHEMIST, by Pablo Coehlo. Kinahusu safari ya Bwana mdogo m'moja Mchunga Kondoo wa Andalusia jina lake Santiago ambaye Mara kwa mara alikua anaota kugundua hazina ya dhahabu huko Egypt (Misri)

Maisha ya ughaibuni yanataka moyo na mipango ya muda mfupi na muda mrefu. La sivyo siku zinakatika unashtukia mtu huna nafasi ya kufanya makubwa na kufikia ndoto zilizokupeleka majuu. Hiyo ndiyo halihalisi ambayo hatuwezi kuikana.

Kuna waliofika majuu kwa malengo ya kutafuta cha kuwafaa kisha warudi walikotoka. Kuna waliofika majuu kutafuta maisha, wamefika na kuyapata wameridhika na kutulia. Kuna waliofika majuu wakiangalia hatima ya uzeeni na kuna walifika majuu hawaoni hatima hiyo ila kula kuku kwa mrija, furahia maisha sasa maana kufa kwaja kwa asiyefurahia maisha.

Maisha ya ughaibuni mazuri kwa kijana mwenye uwezo wa kujituma katika kazi, ukishazeeka huna nafasi wanatafuta damu mbichi, ndio maana kuna wanaoenda kazi mbili ili kuchuma haraka na kurudi makwao au kuwekeza kwao. Pato la toka kazi moja ni kwa wale ambao wana kazi ya malipo mazuri au kuna overtime za kutosha, la sivyo ni kuchumia tumboni.

Jambo la msingi kwe wenye kuona mbali ambao wanamakaratasi bora kuwekeza homeland kidogo kinachopatikana, maana muda wa kutengeneza future si kesho, bali leo. Ipo siku machungu ya nchi ya kufikia yatakufikisha kukumbuka motherland, na kama hukutia mguu huko au kuwekeza kidogo unakuwa na hali ngumu ya kutokuwa na pakufikia na kuendesha maisha hatima ni kuamua kubaki katika matatizo huko ughaibuni.

Nchi za kiafrika pamoja na umaskini wetu kuna utajiri mkubwa wa kutengeneza maisha kama mtu unapanua bongo, lakini ughaibuni nafasi ni ya wachache zaidi na sanasana kuwatumikia mabepari ambao wanahakikisha wana-regulate pao lako kuhakikisha unaendelea kuwatumikia. Kwa vyo vyote kama mtu una malengo na kujaribu kutilia maanani matumizi muhimu kwanza ili kubana matumizi kidogo kihifadhiwe, ni rahisi sana kutunza pesa majuu kwa muda mfupi kwa mwenye malengo na kufanya kitu fulani home for future.

Ushauri wangu, bora kuwa na malengo ya muda mfupi ambapo kuna manufaa zaidi, kwani malengo ya muda mrefu unashtukia mtu mengi hayaende kwa vile kunakuwa na mengi ambayo hayakwepeki na kushtukia kidogo kidogo unachochuma kinaelekea kuishia kwenye matumizi hali inayotokana na kuwa mwenyeji zaidi na uenyeji unagharimu.

Kasumba za sherehe utakuwa baadhi hataki akoswe, mfano Marekani kuna part za kule New Rochelle-New York, Kule Washington DC, Texas, Minnesota, Boston nk huko kote kusafiri ni gharama, matumizi ni makubwa na kama kila part unaona usiikose ujue ni gharama kwa mwaka pesa ya kuweza kujenga kibanda cha vyumba viwili vitatu kwa maisha ya bongo. Lakini ukiwa na malengo ya muda mfupi unajitahidi kubana yasiyo ya lazima na kuweka malengo kufanya ambayo yatafaa siku za usoni huko homeland. Wengi nawapongeza wamefanya hivyo wangali vijana wabichi, wanachuma huku na kule, na sasa wametulia ni uamuzi wao kuishi bongo au kuendelea kutafuta majuu.

Kama mdau ulivyosema, nyumbani kuna nafasi kubwa ya kutengeneza maisha kwa gharama nafuu kuliko majuu. Nai kufungua akili na kufanya ubunifu. Wengi waliokwishaishi nje ya afrika hasa toka mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani, watakubaliana nami kwamba Afrika tuna utajiri na mazingira huru ambayo mtu unaweza kuamua kusimama bila gharama za pekee kuliko majuu ambako bila ajira na kutoka jasho usiku na mchana katu huwezi kupata tutamaniyo.


 
Anaweza kuna ana asset nyingi kuliko wewe. Nyumba kama amejenga bongo ni ya kwake. Wewe kama unanunua nyumba US unanunua kwa mikopo (mortgage). Ukifukuzwa kazi benki inakupora nyumba unaenda kulala barabarani. Tena kama unapangisha nyumba ni utafukuzwa kama mbwa. Gari linaweza kuwa ni la kwake. Wewe gari lazima ununue kwa mikopo. Kwa hiyo ukipiga hesabu, aliye bongo anaweza kuwa amekuzidi financially wewe uliye US.

Ukweli mtupu, kwani ukiona wanaotembea na magari ya kujidai Marekani ujue ni ya mkopo au lease. Hali kadhalika nyumba ni za mkopo na wengi wanachanganyikiwa kibarua kinapoota mbawa kwani nyumba wanazolipita mortgage kama huna chanzo kingine cha kulipia inakuwa fore closure na kubaki homeless kama hukuwa na kipato just a day or week. Gari unanyang'anywa. Umaskini unaoweza kuupata bora ya bongo ungeweza kununua tenga la nyanya na kufungua genge lako la kuuzina huku ukijibanza kwa jirani.

Ndio maana nasisitiza maisha kuwe na mipango ya muda mfupi huko ughaibuni, kwani ajira za hakika Ulaya na Marekani ni katika field ya education (teaching) na Medicare ambazo ni stable. Viwandani na sector nyingine layoff mtindo mmoja maana biashara marekani na ulaya biashara imezorota. Makampuni mengi tu yamefunga na majengo yamebaki mahame tu.

Watu wahamiaji wengi wafanya biashara wanahamishia mali zao nchi kwenye nchi walizotoka kwani uchumi wa dunia sasa hivi unahamia nchi za ulimwengu wa tatu. Hii ni kutokana na mambo mengi ikiwepo mali ghafi zilizokuwa zikichukuliwa kutoka ulimwengu wa tatu nchi hizo zinataka kusafirisha products na si raw material. Hali kadhalika gharama za kusafirisha raw materila kutoka ulimwengu wa tatu kwenda nchi za viwanda ni ghali kutokana na bara la Asia kuwa na mwelekeo mkubwa wa ulimwengu wa viwanda, hivyo kuzalisha bidhaa kwa gharama nafuu kuliko bidhaa za Ulaya na Marekani, na hivyo kujikuta bora kuanzisha viwanda vya uzalishaji katika nchi zenye kutoa malighafi kuliko kusafirisha malighafi ambazo ni kuongeza gharama. Bora kusafirisha products ambazo zinaenda moja kwa moja kwenye soko.
 
Hujui professional yangu mimi nakwambia maisha yangu tambarare hilo sina wasiwasi nalo; unajua watu kama wewe ambao hata shughuli ya maana hamna ndio mnaoweweseka na maisha ya US; kinachochangia gharama ya maisha Marekani ni nyumba; kwenye miji mijikubwa kama Washington Metropolitan apartment ya vyumba viwili ni kati ya USD 1150- 1450 kwa mwezi kwa hiyo kwa mwaka nyumba pekee itakugharimu kati ya usd 13,800- 17,400 kwa vijana wengi ambao wapo single nyumba moja wanakaa 3 hadi 4; turudi kwenye kipato kazi ya chini kama cna wanalipwa kwa kuanzia wanalipwa USD 11.50 (kima cha chini Mareakani ni 7.25) cna kwa mwaka (bila masaa ya zaida kama hataki kufanya kazi ) ni 11.50x40x52= 23,920, turudi kwenye gharama nyumba wanakaa 4 kwa mwaka kodi yake ni 17400/4= 4350 gharama nyingine chakula 1500+usafiri1000 (train)+kujirusha 2000=gharama zote 8,850 wewe fanya katumia 10,000 salio la mwaka usd 13,920 jee kiasi sawa na tz kiasi gani ?13920 x1495= 20,810,400; jee ni watanzania wangapi wenye kazi za kawaida kama vile mwalimu au nesi mwenye uwezo wa kuwa salio kama hilo kwa mwaka? Wote tulipitia haya maisha ya 11.50 kwa saa kabla hatujafikia hapa tulipo acha story za vijiweni hapa tunaongelea USD sio zimbabwe dola; kwa ufupi tu vijana wengi wakitanzania wanatengeneza zaidi ya hicho kiwango nilichokuwekea kwa ufupi ukitengeneza 30,000 tu kwa mwaka upo pazuri; usisikie maneno ya vijiweni ukipata upenyo wa kuja US kutafuta maisha njoo; ukishindwa hapa rudi zako nyumbani kunywa sumu wakuzike. Namshukuru Mungu kunifumbua macho na kuniwezesha kunifikisha hapa nilipo; jiulize kwanini kila taifa wanakimbilia kutaka kuishi US? Marekani jitihada zako kuna watu tumefanya nao kazi za 11.50 CVS pharmacy na sasa hivi wana Ph.d mambo tamabarare kichwa chako tu

Chama
Gongo la Mboto DSM

Haa? Kumbe wewe bado unaishi vyumba vya kupanga? Basi pole maana uko nyuma sana kimaendeleo. Hata asset huna. Wenzako Bongo wamejenga nyumba zao. Hata wakifukuzwa kazi kesho wana pakujisitiri. Sasa wewe huyo mzungu akikutimua kazini utakuwa mgeni wa nani? Au unafikiri utapata bwana wa kukuweka ndani? Yaani wewe 30,000 kwa mwaka hapo US unaona dili? Umelosti dogo.
 
Haa? Kumbe wewe bado unaishi vyumba vya kupanga? Basi pole maana uko nyuma sana kimaendeleo. Hata asset huna. Wenzako Bongo wamejenga nyumba zao. Hata wakifukuzwa kazi kesho wana pakujisitiri. Sasa wewe huyo mzungu akikutimua kazini utakuwa mgeni wa nani? Au unafikiri utapata bwana wa kukuweka ndani? Yaani wewe 30,000 kwa mwaka hapo US unaona dili? Umelosti dogo.

Katika mambo ambayo ninailaumu sana serikali ni haya ya kutuletea shule za kata; mtu kama wewe ni afadhali usingesoma kabisa; labda ungekuwa ni mkulima au mfugaji mzuri; upeo wako wa kuelewa ni mdogo sana; mimi nilichokuwekea ni mchanguo mdogo tu maisha, sijakuambia naishi kwenye apartment au natengeneza 30,000 USD, ulichopaswa kufanya ni kunipa mchanguo wa mapato ana matumizi ya mfanyakazi hapo Dar ili yaweze kunivutia nirudi nyumbani; inaonekana dogo wewe ndio umelosti kiaina.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Candid Scope
Endelea kutafuta information kwenye google umetoa maelezo mengi tatizo pumba nyingi; utajiri wa bara la Afrika haukujulikana leo; na ndio sababu wazungu walikimbilia na kujigawia maeneo; hivi Afrika ni huru je ni wazawa wangapi wananufaika na utajiri wa Afrika? Chukulia mfano wa nchi yetu Tanzania pamoja na wingi wa rasilimali tulizonazo zinakusaidia nini wewe binafsi sasa hivi? Ajira hakuna, huduma za afya hakuna; elimu lazima ulipie, rushwa na umaskini umekithiri nieleze rasilimali hizi zaidi ya kuwanufaisha wakubwa serikalini na familia zao zinamnufaisha nani; ikiwa mkoloni aliweza kutoa huduma zote hizo bure inakuwaje viongozi wazawa washindwe? Umejaribu kugusia uchumi wa Marekani endelea kugoogle na wikipedia bado huna unachoelewa; tunarudi kulekule shule za kata. Kwa kumalizia tu biandamu asiyetaka starehe ni mgonjwa na aliye jela; kama bongo wanavyo starehe hata sisi huku hakuna ubaya tukijinafasi; au bongo watu wanapiga kazi mtindo mmoja? kama ingekuwa hivyo Billicanas ingefungwa kwa kukosa wateja.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Kinachotakiwa kwenye hii dunia ni kupata pesa na uishi maisha mazuri wewe na familia yako na usaidie jamaa zako, kukaa Ulaya, Marekani, Afrika, Asia, kwa unatengeneza pesa nadhani hakuna tatizo, kuna watu wametoka Australia, Holland, Canada, New Zealand, UK, US wanaishi Afrika Tanzania Geita, Kahama, Mwadui, Mwanza, wanafanya kazi kwenye migodi ya dhahabu na Almasi...kweli kuna Watanzania wapo Marekani na Ulaya wana maisha mazuri na wapo pia wana maisha mabovu mie nimewaona baadhi ya Watanzania UK MILTON KEYNES na Turkey Istanbul Buyukdere, wana maisha mabovu sana wanalala magheto.

Ritz
Naona sasa umeanza kuelemika, kumbuka wengi watanzania waliopo Turkey ni mabaharia na wengine ni watu wa mdude; mabaharia Turkey walikuwa wanapita tu kuelekea Greece kuchukua meli; baada ya sekta meli ugiriki kudorora ndio wengi wamekwama; watu wa mdude njia zimekuwa ngumu sana usiwatie kwenye hesabu wengi wamegeuka mateja; Milton Keys sijafika ila nitahakikisha nikiwa London lazima nipitie nijionee mwenyewe. Lakini si hata Kigogo mabondeni watu wengi wanaishi kama gheto au wale sio watanzania?

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Mtoto wa mjini;
Nilishasema hizi ni hadithi za Tom, Dick and Harry nilitegemea uje na jibu ni vipi ulinyimwa kazi lakini matokeo umekuja na hadithi za kusadikika "aliniambiaga kua maboss walishadiscuss kua wakiwa wana recruit wanataka mtu mweusi asizidi mmoja bt hiyo ni off the record so wakati wanaongea na agencies za kazi wanawaambia only one black guy wanataka hata kama wana talent bt kwa sababu ya image yao na customers/clients wao ni from a certain area ambayo hawatapendezwa kuona watu weusi wengi." ...nimeipenda sana hii "Bongo yenyewe unaona jinsi ambayo mtu unakosa kazi kwa sababu huna connections na wote ni watu weusi ndio itakua abroad" sasa ikiwa huu ubaguzi unao uoengelea Tanzania upo sasa unataka kiwalete kitu gani si afadhali hata hapo UK wanapata riziki zao? ...

Chama
Gongo la Mboto DSM



Nishahisi mi na wewe tunaweza kuongea mpaka kesho kutwa na tusielewane, anyways kwa kifupi ni kua sasa hivi hasa baada ya recession uk hawatoi kazi full time kirahisi.

So majority wanapitia agencies coz agency workers ni rahisi kuwafukuza compared na full time workers, i know watu wamekua na very good jobs for years lakini wako na agencies wewe unasimuliwa na watu, mimi i have been there seen it, all in all kwa kumalizia ni kwamba unless you do have a good job abroad, its not worth the hussle...we just have to agree to disagree.
 
Ritz
Naona sasa umeanza kuelemika, kumbuka wengi watanzania waliopo Turkey ni mabaharia na wengine ni watu wa mdude; mabaharia Turkey walikuwa wanapita tu kuelekea Greece kuchukua meli; baada ya sekta meli ugiriki kudorora ndio wengi wamekwama; watu wa mdude njia zimekuwa ngumu sana usiwatie kwenye hesabu wengi wamegeuka mateja; Milton Keys sijafika ila nitahakikisha nikiwa London lazima nipitie nijionee mwenyewe. Lakini si hata Kigogo mabondeni watu wengi wanaishi kama gheto au wale sio watanzania?

Chama
Gongo la Mboto DSM

Chama.
Hujue wewe umetoka Gongo la Mboto lazima maisha yeyote US uyaone mazuri, Africa bado kuna nafasi ya kupata pesa na kuwa tajiri Ulaya au US huwezi kufanya kazi ukawa tajiri labda uwe mwanamichezo au ushinde Lottery, hata ufanya kazi vipi na kazi zenu huko US ni kuokota makopo na mabaki ya vyakula McDonald's au kusafisha wazee kwenye camp zao, au kazi ya kutandika vitanda kwenye hotel za US.

Ulaya au US ingekuwa inalipa kihivyo kama unavyosema wewe hao wazungu wasingekuwa wamejaa africa nimekumbia nenda Migodini Geita, Mwadui, Shinyanga, utakutana raia kutoka US, Australia, Holland, New Zealand, UK, Canada, wanafanya kazi, ukiongea nao wanakuambia wanafanya kazi wakirudi kwao US au UK wanunue Cadilac Escalade, Porsche, Jaguar, Vogue, kwa mtu wa kawaida kuendesha magari hayo kwao ni ngumu sana...Chama wa Gongo la mboto anakuambia maisha mazuri US..

Maisha ya Ulaya nayajua sana labda waambie wengine.
 
Ritz;
Umeishiwa nyimbo, wewe sio upo bongo mbona huendi kuishi Geita? Au hao wazuzuraji waliojazana hawapelekwi Geita? Ritz shule hujakwenda au ndio yaleyale ya shule za kata; ulaya uemishi wapi Poland?

Shule hukwenda lazima maisha yawe magumu kwako isitoshe mimi nilo US maisha tofauti, kama ulaya sio kuishi kama ulipita Turkey labda yalikuwa mambo ya mdude yalikushinda, kama ngoma ilikushinda acha wanaume waicheze; eti ooh wazungu wamejazana Geita si kwasababu ya mfumo mbovu uliowekwa wa kuwakumbatia wazungu wewe unafikiri hakuna watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi hizo? Nchi yetu ukosefu wa ajira ni zaidi ya 50% sasa unataka kuongea kitu gani?

Ule mwaliko wangu upo palepale, kama ulisafiri wewe ulisafirishwa na mama huna chochote cha kunishtua. Uliwahi kusema una nyumba ya urithi Magomeni nilishakushauri za moja uende shule inaonekana kichwani patupu.
Only real man stands till the last fight if you could not make it shut the fu2k up and drop dead!!
Chama
Gongo la Mboto DSM
 
nishahisi mi na wewe tunaweza kuongea mpaka kesho kutwa na tusielewane, anyways kwa kifupi ni kua sasa hivi hasa baada ya recession uk hawatoi kazi full time kirahisi. So majority wanapitia agencies coz agency workers ni rahisi kuwafukuza compared na full time workers, i know watu wamekua na very good jobs for years lakini wako na agencies wewe unasimuliwa na watu, mimi i have been there seen it, all in all kwa kumalizia ni kwamba unless you do have a good job abroad, its not worth the hussle...we just have to agree to disagree.

Hatuwezi kuelewana kwa sababu moja kubwa wewe unaongea hadithi za vijiweni mimi nakueleza hali halisi, isitoshe mimi nipo US kihalali na hata kesho nikikosa kazi naqualify kupata unemployment benefit (inshallah haitatokea); wewe ulikuwa huna papers kwa system ya UK lazima ulikuwa uhaingaike kidogo; kama ulishindwa maisha ukaamua kurudi bongo poa huo ulikuwa ni mpango wako nina uhakika ulipigwa bomba sasa umebakiza hasira ooh ulaya ngumu, hata hapo bongo pagumu sana kwa mtu ambaye hana channel, nina washikaji tangu wapate mchujo wa kazi mpaka leo hii ajira kwao imekuwa ndoto mwaka 5 huu unataka kuongea kitu gani; nilishawahi kukuambia nenda Morogoro Road kuanzia Mwembechai watu wanapiga teke kwenda Kariakoo kutafuta maisha ule uhakika kama watapata riziki hawana sasa mnaongea kitu gani? mimi sio kama nimelowea nakuja bongo kwa mwaka 2 kila mwaka naijua hali halisi na wewe watafute wa kuwaeleza upuuzi wako labda kama bado unaishi mgongoni mwa wazazi wako. Mwanangu kama mkole ngoma ilikushinda kucheza tulia acha longolongo

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Chama wa Gongo la Mboto anasema US maisha tambarare...

Hapa tuwasome Wamarekani wenyewe wanavyosema
America's biggest problem? Unemployment

Many see jobless situation as biggest problem facing country


President Obama's right on the jobs problem, wrong on the answer


[h=1]US unemployment falls as workers abandon jobs market[/h] [h=2]US unemployment fell to 8.1pc in April as 115,000 jobs were created, but the bulk of the drop was due to the hundreds of thousands of Americans who stopped looking for work as they believed there were no positions available.[/h]
US-JOBS_2048905b.jpg
andrew-puzder-obama-american-jobs-private-public-sector-growth-620x402.jpg
 
Chama wa Gongo la Mboto anasema US maisha tambarare...

Hapa tuwasome Wamarekani wenyewe wanavyosema
America's biggest problem? Unemployment

Many see jobless situation as biggest problem facing country


President Obama's right on the jobs problem, wrong on the answer


US unemployment falls as workers abandon jobs market

US unemployment fell to 8.1pc in April as 115,000 jobs were created, but the bulk of the drop was due to the hundreds of thousands of Americans who stopped looking for work as they believed there were no positions available.

US-JOBS_2048905b.jpg
andrew-puzder-obama-american-jobs-private-public-sector-growth-620x402.jpg

Ritz;
Kichwani bado mtupu hivi hizi shule kata kulikuwa hakuna ambazo zina nafuu? mbona unashindwa kujadili nimekuuliza matatizo ya ajira hapo bongo badala ya kutoa majibu; ya kutuonyesha ajira zipo wapi hapo Tanzania umekimbilia kugoogle; US ni taifa la wananchi takriban 350 Milioni ambao hawana ajira ni karibu milioni 7; na katika hao wapo wengi tu ambao hawataki kazi wanatumia udhaifu wa mfumo wanakinga pesa kila mwezi (Unemployment benefit); zipo sekta zinazopoteza ajira na zipo sekta zinaajiri; hapo Tanzania unemployment ni zaidi ya 50% Marekani ipo chini ya 8.1% sasa kwa akili yako wapi ni rahisi kupata kazi kwenye unemployment iliyo chini 8.1% au iliyo zaidi 50%? Pamoja na kuwa unaonekana mtupu kichwani nina uhakika jibu unalijua, Picha ya hapo juu ni commercial waliitengeneza wakati Raisi Obama anainadi sera ya kuongeza ajira; usichoke endelea kugoogle

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
hapo Tanzania unemployment ni zaidi ya 50% Marekani ipo chini ya 8.1% sasa kwa akili yako wapi ni rahisi kupata kazi kwenye unemployment iliyo chini 8.1% au iliyo zaidi 50%? Pamoja na kuwa unaonekana mtupu kichwani nina uhakika jibu unalijua

Chama
Gongo la Mboto DSM

Hiyo unemployment rate ya asilimia 50 kwa Tanzania ni conservative estimate. Mimi nadhani ni zaidi ya hapo...probably in the 70%-80% neighborhood. Na sidhani hata wizara ya kazi inakusanya hizo takwimu.
 
Hiyo unemployment rate ya asilimia 50 kwa Tanzania ni conservative estimate. Mimi nadhani ni zaidi ya hapo...probably in the 70%-80% neighborhood. Na sidhani hata wizara ya kazi inakusanya hizo takwimu.

Inawezekana kabisa nilipokuwa bongo nilimtembelea mshikaji wangu ofisini kwake katika saa moja niliyokuwa naye alipokea zaidi ya wageni 6 ilibidi nimuage nilimuona yupo busy sana akaniambia unajua kikosi cha mizinga kimehamishwa Morogoro kipo hapa Dar siku hizi sikumuelewa; jamaa akanifungua wageni wote hao hakuna hata mmoja wa kikazi wote walikuja kupiga mizinga; ukiaangalia idadi ya wazuraraji imetriple idadi ya waajira, Ritz anahasira ameshadunda visa unyamwezini amebakia kulalama tu.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Chama.
Acha kupotosha bana usiseme wengi hawataki kazi Marekani..

Kama ingekuwa hivyo Marekani basi Rais Barrack Obama, asingetangaza mpango wa ajira kupambana na uhaba wa ajira uliopo tena Obama alienda mbali zaidi na kuwakashifu Republican kuwa wameshindwa kazi wananchi hawana ajira...Obama alisema pia uchumi wa Marekani umedorora na tatizo la ajira linazidi kuongezeka...

Halafu Chama wa Gongo la Mboto anasema ajira nyingi tu Marekani watu hawataki kazi, kazi gani? Kuokota sahani McDonald's au kulea watoto (babycity).

Wewe hunajua kama wanajeshi 100,000 wa Marekani wanapoteza ajira zao jeshini kwenye mpango wa kubana matumizi wanaingia mitaani na wafanyakazi wengi serikalini wamepoteza ajira zao halafu Chama wa Gongo la Mboto anakuambia maisha tambarare US.
 
Back
Top Bottom