Takukuru haina uwezo wa kufuatilia na kuwafikisha mahakamani mafisadi walioficha mabilioni ya fedha katika benki hizo za Uswisi. Kama asasi hiyo ingekuwa na uwezo huo, pengine ingekuwa tayari imefikia mwisho mwema katika suala lile la kashfa ya ufisadi wa rada ambalo limefikia hata hatua ya kuandikiwa kitabu na mchunguzi mmoja wa kimataifa! ........ Takukuru husikika zaidi pale tu skandali kubwa zinapoibuliwa na wengine na si yenyewe kuwa ya kwanza kuziibua skandali hizo.
Source:– Raia mwema
Ndugu zangu msitegemee rais Kikwete afanye kitu....ameshindwa EPA, ameshindwa kashfa ya RADAR, ameshindwa kila kitu....naona miaka mitatu (3) iliyobaki aondoke madarakani ni kama miaka 20. Hatuna rais ila mbabaishaji, hilo halina ubishi.....hakuna anachofanya.
Source:– Raia mwemaRais
Jakaya Kikwete .....hatujamsikia kwa muda mrefu akifungua kinywa chake kukemea ufisadi huu mkubwa au hata kuchukua hatua zozote kubwa (maamuzi magumu) kupambana na hawa tunaowaita mafisadi papa.Hatukumsikia Kikwete akifungua kinywa chake hata pale ripoti ya benki kuu ya Uswisi ilipoitaja Tanzania kuwa ni moja ya nchi ambayo viongozi wake wameficha mabilioni ya fedha kwenye akaunti za benki za nchi hiyo.Hitimisho: Ndugu zangu, nyumba yetu (Tanzania) ni chafu, na inahitaji kufagiliwa.
Source: Maoni ya Wasomaji – Raia mwema, mtandaoni.
Source:– Raia mwema
Ndugu zangu msitegemee rais Kikwete afanye kitu....ameshindwa EPA, ameshindwa kashfa ya RADAR, ameshindwa kila kitu....naona miaka mitatu (3) iliyobaki aondoke madarakani ni kama miaka 20. Hatuna rais ila mbabaishaji, hilo halina ubishi.....hakuna anachofanya.
Source:– Raia mwemaRais
Jakaya Kikwete .....hatujamsikia kwa muda mrefu akifungua kinywa chake kukemea ufisadi huu mkubwa au hata kuchukua hatua zozote kubwa (maamuzi magumu) kupambana na hawa tunaowaita mafisadi papa.Hatukumsikia Kikwete akifungua kinywa chake hata pale ripoti ya benki kuu ya Uswisi ilipoitaja Tanzania kuwa ni moja ya nchi ambayo viongozi wake wameficha mabilioni ya fedha kwenye akaunti za benki za nchi hiyo.Hitimisho: Ndugu zangu, nyumba yetu (Tanzania) ni chafu, na inahitaji kufagiliwa.
Source: Maoni ya Wasomaji – Raia mwema, mtandaoni.