Njoka Ereguu
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 821
- 335
Baada tu ya Bajeti 2012/2013 kuwasilishwa Mhe. Rasi JK anaendesha kikao cha baraza la mawaziri. Bado tu wanapewa semina elekezi, hazitosha? wafanye kazi sasa, hizo ni gharama ambazo zinaweza kuepukika.