kazuramimba
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 126
- 57
Akihojiwa na gazeti la new york times Rais Mursi amesema Marekani ni lazima iheshimu tamaduni za nchi za kiarabu. anaitembelea marekani kwa safari ya kikazi.Aidha haijaelezwa wazi itakuwa ni safari ya siku ngapi.Rais mursi aliwahi kuishi Marekani miaka kadhaa iliyo pita na kufanya kazi kama lacture kabla ya kurudi misri.Source bbc.